Friday, November 27, 2015

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Aendelea na Kazi za Chama Ofisini Kwake Mtaa wa Lumumba

Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu wa Itikadi na Uenezi  Nape Nnauye mara baada ya kuwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Ofisi Ndogo Lumumba.
 


Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ofisini kwake Makao Makuu ya  CCM Ofisi Ndogo Lumumba .

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More