Thursday, December 31, 2015

WAZIRI WA AFYA, MHE. UMMY MWALIMU ATEMBELEA MSD, AAHIDI KUWA BALOZI WAO NA KUWATATULIA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI IKIWEPO DENI WANALOIDAI SERIKALI

ummy-msd 175
Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitembelea moja ya ghala la kuhifadhia dawa iliyopo makao makuu ya MSD,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD Laureane Bwanakunu na watatu kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya MSD Prof.Idris Mtulia.

Wednesday, December 30, 2015

MAAMUZI MABOVU NA UTENDAJI MBAYA WA KAZI WAWAPELEKEA WENYEKITI KUMCHUKULIA HATUA MWENYEKITI WAO WA KIJIJI.

Wanafunzi katika shule ya msingi Shenda wakiwa wamekaa kwenye moja ya darasa lililosakafiwa

Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio toka kwa wananchi kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma unaofanywa na viongozi waliowachagua pasipo kuchukua hatua zozote. Ukimya huu wa wananchi ndio unaosababisha kilio hicho kuendelea kukuwa kila siku.

Tuesday, December 29, 2015

Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Disemba 29

Profesa Muhongo Azidi Kuibana TANESCO

Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) limeagizwa kuhakikisha hadi kufikia tarehe 3 Januari 2016 liwe limekamilisha kufunga umeme kwenye Jengo la Ofisi za Serikali la Mpakani  mwa Tanzania na Rwanda (One Stop Border post) lililopo eneo la Rusumo wilayani Ngara.

Zaidi ya Watu 1500 Wajitangaza Kuwa MASHOGA Mkoani Iringa

na oliver motto,iringa
 
Kukithiri  kwa biashara haramu ya ngono pamoja na tabia ya ushoga mkoani Iringa kunadaiwa kusababishwa na baadhi ya vijana wa vyuo vikuu waonafika mkoani humo kwa ajili ya masomo ya elimu ya juu, huku miongoni mwao wakitaka starehe zilizo nje ya uwezo wao.

Thursday, December 24, 2015

Polisi Wauana Kwa Risasi Jijini Mwanza Wakiwa Lindoni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, SACP Justus Kamugisha.
 
ASKARI Polisi wa Kituo cha Polisi Nyamagana jijini Mwanza, Konstebo Daud Masunga Elisha, amemuua askari mwenzake, Konstebo Petro Saimon Matiko kwa risasi na baadaye kujiua kwa risasi na kufa papo hapo.

Serikali Yatangaza ‘Kuminya’ AJIRA za Wageni

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga ameagiza waajiri kote nchini kutowapa ajira wageni kwa kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania.

AKINA MAMA NA VIJANA NI NGUZO KUBWA YA KULETA MABADILIKO KATIKA VIJIJI.


 Bwana Bony Lukas akieleza jinsi anavyofanya uraghbishi hasa katika kuwasaidia vijana kujua haki zao na kujitambua.

Na Fredy Njeje wa Blogs za Mikoa

Wednesday, December 23, 2015

Serikali Yahimiza Ujenzi Wa Viwanda Vidogo Vidogo Nchini

Serikali imesema kuwa Tanzania haiwezi kubadirika ikiwa mawazo ya watu hayatabadirika katika ujenzi wa viwanda vidogo nchini kote na kuondoa mawazo ya kujenga viwanda vikubwa kama vya wafanyanyabiashara wakubwa, kwa kuwa vinahitaji mtaji mkubwa wakati ajira zake ni chache.

Jela kwa kupongeza majambazi yaliyovamia Polisi Stakishari

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Bruno Kimaryo, kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kusambaza ujumbe katika mtandao wa kijamii wa kuyapongeza majambazi yaliyovamia Kituo cha Polisi cha Stakishari na kuua polisi.  Aidha, mshtakiwa huyo ametakiwa ama kulipa faini ya Sh. 600,000 kwa kosa hilo.

UWT MKOA WA IRINGA WAMTAKA RAIS DK. JOHN MAGUFULI- KUENDELEZA MAPAMBANO DHIDI YA MAFISADI



 
 Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa Tanzania (UWT), Mkoa wa Iringa, Zainab Mwamwindi
UMOJA wa Wanawake wa chama cha mapinduzi UWT mkoa wa Iringa, umeuomba  uongozi wa rais wa awamu ya tano dk. John Magufuli- kuendeleza mapambano, kwa kuibua yale yote yaliyofichika,  zoezi linalofahamika kama ‘Utumbuaji wa majipu” kwa madai kuwa nao UWT wanaziunga mkono jitihada hizo zinazoendele.

MWENYEKITI WA CCM MKOA WA IRINGA AZUNGUMZIA KESI YA MWAKALEBELA

MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu amesema anashangazwa na watu wanaomtuhumu kukihujumu chama hicho wakati wa Uchaguzi Mkuu Jimbo la Iringa Mjini kwani madai yao hayana uhusiano wowote na sababu za msingi zilizotumiwa kufungua kesi ya kupinga matokeo ya jimbo hilo, hivikaribuni.

Serikali Yafuta ‘Semina Elekezi’ Kwa Madiwani

Serikali imesema mafunzo kwa ajili ya madiwani wote hayatakuwepo na badala yake wenyeviti na makamu wa wenyeviti kote nchini ndio watapatiwa mafunzo ya namna ya kusimamia halmashauri zao.

Samwel Sitta Atangaza Kustaafu Siasa

Kwa mara ya kwanza tangu Kamati Kuu ya CCM ilipomuengua kwenye kinyang’anyiro cha uspika, Samuel Sita ambaye alikuwa Spika wa Bunge la Tisa, jana ameweka bayana mustakabali wake; ameamua kustaafu siasa.

UDHAIFU WA USIMAMIZI WA MIRADI MBALIMBALI NI CHANGAMOTO KATIKA KULETA KASI YA MAENDELEO NDANI YA JAMII .

Waraghbishi toka kijiji cha Pandagichiza wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya tanki la maji, ambalo baadhi yao ndio wasimamizi wake kutokana uaminifu wao.

Monday, December 21, 2015

Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo

Rais Magufuli amekutana na kuzungumza na mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif juu ya mgogoro wa uchaguzi wa Zanzibar

Waziri Kitwanga AKutana na Waandishi wa Habari Leo

Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam.

Ukawa wamtetea Mkurugenzi wa Kinondoni Aliyesimamishwa kwa Ufisadi

Madiwani wa vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wamemtetea Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Mhandisi Mussa Natty 7aliyesimamishwa kazi.

Madiwani wa CUF Kufikishwa Mahakamani Kwa Kufanya Vurugu

Madiwani kumi wa Chama Cha wananchi (CUF) waliodaiwa kufanya vurugu katika uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya jiji la Tanga wanatarajiwa kufikishwa mahakamani.

HAKUNA TENA MNADA ENEO LA MASHINE TATU MANISPAA YA IRINGA

 
alex kimbe meya na naibu  meya joseph lyata
  
zile ndoto za wafanyabiasha wadogowadogo kufanya mnada katika eneo la mashine tatu bado halina ufumbuzi kutoka na eneo hilo kugeuzwa kuwa eneo la kushushia na kupakia abiria wa daldala za kutoka kihesa kuelekea zizi la ng’ombe na isakalilo.

JAMII YETU IKO MIKONONI MWETU


Mratibu wa Vijana, Bahati Juma (wa kwanza kulia) akiwa na wanafunzi wa darasa la saba, shule ya Msingi Uchunga, kupitia pamoja somo la kiswahili kituoni hapo.

MKUU WA MKOA, MWENYEKITI WA CCM MKOA WA IRINGA NA WAJUMBE WAKE WA KAMATI YA SIASA WAFUNGIWA OFISINI

ZAIDI ya vijana 50 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini, wanaojiita “wafia chama” kwa zaidi ya saa mbili juzi waliwafungia ndani ya ofisi za CCM Mkoa wa Iringa wajumbe wa kamati ya siasa ya mkoa huo akiwemo Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu wanayeshinikiza aachie ngazi.

Waziri Mkuu Acharuka Asema Wabadhirifu Watang'olewa Mara Moja

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaonya watendaji wa halmashauri nchini kwamba atakayebainika ametumia vibaya fedha za Serikali atang’olewa kazini kwa sababu Serikali ya Awamu ya Tano haina mchezo na mtu.

Hatima ya Juma Duni Haji Kubaki CHADEMA Au Kurudi CUF kujulikana Januari

Mwanasiasa mkongwe nchini, Juma Duni Haji amesema hatima yake ya kubakia au kuondoka ndani ya Chadema itajulikana mwezi ujao.

Ada Elekezi Shule Binafsi Tayari

TUME ya wataalamu waliokuwa wanakusanya maoni ya wadau wa elimu na kukokotoa ada elekezi kwa shule za msingi na sekondari zisizo za Serikali, wamemaliza kazi yao na tayari wamekabidhi ripoti hiyo kwa Serikali.

HOSPITALI ZAAGIZWA KUTENGENEZA MFUMO WA MALIPO WA KIELEKTRONIKI

IMG_9410
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akifurahi jambo na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga (kulia) wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mwishoni mwa juma mkoa wa Lindi.
Na Mwandishi wetu, Mtwara

WASHINDI KAMATI ZA KUDHIBITI UKIMWI PANGANI WAPATA ZAWADI

ø;
Meza kuu,wa kwanza kulia ni Meneja wa redio PANGANI FM Maimuna Msangi, wa pili kutoka kulia ni Mkurugenzi wa shirika la UZIKWASA ambalo limeratibu tamasha hilo VERA PIEROTH,wa tatu ni Kaimu mgeni Rasmi ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya PANGANI Bi Patricia, na wanne ni Mratibu wa masuala ya UKIMWI wilaya ya PANGANI.

WAZIRI UMMY MWALIMU AVAMIA HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO MKOANI TANGA

IMG-20151220-WA0011
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wahudumu wa afya (jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha la dawa katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza mchana wa leo Disemba 20, 2015.

Sunday, December 20, 2015

Mwakyembe Tutamalizia Mchakato wa Katiba Mpya

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe amesema Rais amempa kazi ya kuhakikisha anakamilisha mchakato wa Katiba Mpya pamoja na uanzishwaji wa Mahakama ya Rushwa.

Waziri Kitwanga,Dr Mwakyembe Watembelea Magereza Makuu Jijini Dar

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe na Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, wameunda kamati ndogo ya wataalamu kwa ajili ya kutatua changamoto zilizopo magerezani.

Lowassa Atoa Ujumbe Mzito Kwa CCM

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na kuungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa amesema anashangaa kuona anaambiwa mleta vurugu wakati dunia inamkubali kuwa ni mlinzi wa amani.

NDAY BONANZA’‬ NDIO HABARI YA MUJINI JUMAPILI YA LEO NDANI KIOTA CHA ESCAPE ONE

Rapa Mkongwe wa muziki wa dansi wa Skylight Band, Joniko Flower akiwasebenesha sehemu ya mashabiki wao Jumapili iliyopita kwenye Skylight Sunday Bonanza‬ kiota cha Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam

DIWANI WA CHADEMA AGOMA KUCHUKUA POSHOZA VIKAO


Diwani wa kata ya Gangilonga  katika halimashauri ya manispaa yaIringa kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Dady Igogo amegomea kupokea posho zinazotolewa na halimashauri hiyo alimaarufu posho ya vikao( sitting allowance )na badala yake ametaka posho hizokwenda kusaidi watoto wanaoshi katika mazingira magumu kwenye kata yake

MUFINDI YASHIKA UKWANZA MKOANI IRINGA

Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi ya Mkoani Iringa imeibuka mshindi wa kwanza kimkoa na kushika nafasi za juu kikanda na kitaifa, kati ya Halmashauri tano za Mkoa wa Iringa, baada ya kufanya vizuri zaidi wakati wa mbio za mwenge wa uhuru ulipokimbishwa Mkoani Iringa mnamo mwezi Juni mwaka huu.

NAIBU WAZIRI DKT. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA LEO KATIKA HOSPITALI ZA RUFAA MIKOA YA LINDI NA MTWARA

IMG_9315
Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.

Friday, December 18, 2015

Makonda Aibua Ufisadi wa Bilioni 5.7 Kinondoni

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (pichani) ameamuru kusitishwa mara moja malipo yanayofanywa kwa makandarasi waliojenga barabara tano za ndani ya wilaya hiyo.

Viongozi wa Chadema na CCM Watwangana Ngumi Kwenye Uteuzi Wa Meya

Zogo  kubwa liliibuka katika kikao cha kuwachagua Meya na Naibu Meya wa Manispaa ya Dodoma jana. Zogo hilo lilisababisha viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuzichapa kavukavu.

BASI LA KAMPUNI YA NEW FORCE LAPATA AJALI NA KUUWA

RAYMOND MINJA IRINGA

WATU 12 wamefariki dunia na wengine 28 kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa limebeba mbao.

Tuesday, December 15, 2015

Magazeti ya Leo Jumanne ya Disemba15

Wapiga Kura Kibamba Wamtaka Mnyika Kuanza Kufanyia Kazi Ahadi Zake Badala Ya Kuendelea Kutoa Matamko Kwenye Vyombo Vya Habari

Wakazi wa jimbo la kibamba wamemtaka mbunge wao, John Mnyika kuanza kufanyia kazi ahadi zake badala ya kuanza kutoa matamko kwenye vyombo vya habari kuzungumzia mambo ya kitaifa wakati ana mambo kadhaa ya kuyafanyia kazi jimboni kwake

MSHINDI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 CAROLINE CHELELE, AKABIDHIWA RASMI ZAWADI ZA VIFAA VYA KILIMO ZENYE THAMANI YA TSH MIL.20 IFAKARA.

 
Mshindi wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula Msimu wa nne Bi. Caroline Chelele aliyekaa kwenye Pawatila akifurahia zawadi zake, Muda mfupi baada ya kukabidhiwa.

Sunday, December 13, 2015

WAZIRI WA AFYA NA NAIBU WAKE WAFANYA ZIARA ZA KUSHTUKIZA KATIKA HOSPITALI YA MWANANYAMALA NA AMANA

IMG_8379
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangala akiwasili katika Hospitali ya rufaa ya Amana iliyopo Ilala, Dar es Salaam alipofanya ziara ya kushtukiza baada ya sherehe za kuapishwa.

WAZIRI UMMY MWALIMU NA NAIBU WAKE DK. KIGWANGALA WARIPOTI WIZARANI LEO

IMG_8317
Gari la Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu likiwasili Makao Makuu ya wizara hiyo na kupokelewa kwa saluti mara tu baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli katika sherehe zilizofanyika leo Ikulu jijini Dar es Salaam

Je, Hawa Hawakufahamu Utoroshwaji Wa Makontena Bandarini?

Miongoni mwa mambo yanayotikisa duru za vyombo vya habari nchini Tanzania na nje ya nchi ni kuhusu ukwepaji wa kodi kupitia utoroshwaji wa makonte kutoka bandari ya Dar es Salaam.

Wafanyabiashara 15 Waliokaidi Agizo la Rais Kukiona Cha Moto

MAKAMPUNI 15 yaliyokwepa kodi baada ya kutorosha makontena yao, yamejisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), lakini yameshindwa kulipa kodi ndani ya siku saba za msamaha wa Rais John Magufuli.

Friday, December 11, 2015

ASKOFU CHARLES GADI AONGOZA UMOJA WA MAKANISA YA DODOMA KUMUOMBEA RAIS DK.JOHN MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

 Viongozi wa Makanisa mbalimbali ya mkoani Dodoma wakiwa wameshika picha za Rais Dk.John Magufuli, Waziri Mkuu, Majaliwa Kasimu Majaliwa na Makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu wakati wa kufanya maombi ya kuwaombea yaliyofanyika mjini Dodoma juzi. Maombi hayo yaliongozwa na Askofu wa Kanisa la Good News for All Ministry International la jijini Dar es Salaam.

MATUKIO MBALIMBALI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Dar es salaam, Madereva wa boda boda wakiongoza maandamano ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake jijini Dar es salaam. Maandamano hayo yalianzia uwanja wa Tipi ulioko Sinza hadi katika hotel ya Blue Pearl iliyopo Ubungo.

Dar es salaam, Ujumbe mbalimbali wa maadhimisho ya kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.

Thursday, December 10, 2015

Rais Magufuli Atangaza Baraza Lake la Mawaziri

Ndugu waandishi wa habari na watanzania kwa ujumla, ninawasalimu sana. Nawakatibisha katika kikao hiki cha kutangaza baraza la mawaziri,

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More