Tuesday, November 14, 2017

WAHITIMU WA MGAMBO GEITA WAOMBA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWENYE MAKAMPUNI

Mkuu wa wilaya ya Geita Mwl,Herman Kapufi  akiongozana na kiongozi Mkuu wa Gwaride pamoja na Mshauri wa majeshi ya akiba Wilayani humo,Luteni Kanali ,Daud Issah Mnyanga wakati walipokuwa wakikagua gwaride.

Mkuu wa wilaya ya Geita  Mwl,Herman Kapufi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Wilayani ,Humo akiimba wimbo wa Taifa mala baada ya kuwasili kwenye viwanja hivyo.

Baadhi ya viongozi wa serikali pamoja na kamati ya ulinzi na usalama wilayani humo wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa zoezi la kufunga mafunzo ya  jeshi la akiba(Mgambo).

 Baadhi ya askari wa jeshi la akiba wakijiandaa kupita mbele ya mgeni rasmi kwaajili ya kutoa heshima.

Moja kati ya viongozi wa Gwaride akiongoza askari wa Mgambo wakati walipokuwa wakitoa heshima kwa mwendo wa taratibu mbele ya mgeni rasmi.

Mkuu wa Wilaya ya Geita akitazama shughuli na burudani ambazo zilikuwa zikifanyika wakati wa zoezi hilo.


Gwaride likipata kwa mwendo wa taratibu mbele ya mgeni rasmi.

Mkuu wa Wilaya ya Geita pamoja na viongozi wengine wakiwa wamesimama wakati Gweride lilipokuwa likipita mbele kwaajili ya kutoa heshima.



Makomandoo wa jeshi la akiba wakionesha namna ambavyo wamehiva kwenye suala la kupamba na adui.

Baadhi ya wananchi wakifuatilia maonesho ambayo yalikuwa yanafanywa na jeshi la akiba.








Mkuu wa Wilaya ya Geita,Mwk Herman Kapufi akiwatunuku vyeti baadhi ya askari wa mgambo ambao wamehitimu mafunzo.


Mshauri wa jeshi la akiba  wilayani Geita Luteni Kanali ,Daud Issah Mnyanga akimkaribisha mgeni rasmi wakati wa shughuli za kuwaaga askari wa jeshi la akiba.

Mkuu wa Wilaya ya Geita,Mwl Herman Kapufi akiwahutubia baadhi ya askari ambao wamefudhu mafunzo hayo.
 NA JOEL MADUKA ,GEITA

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More