Tuesday, November 14, 2017

MHANDISI MTIGUMWE ATOA MWEZI MMOJA KWA MRATIBU OFISI YA UKAGUZI KANDA YA KASKAZINI KUBAINI WALA RUSHWA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew John Mtigumwe (Kushoto) akisalimiana na Mratibu wa Ofisi ya Ukaguzi Kanda ya Kaskazini Ndg Juma Mwinyimkuu mara baada ya kuwasili kwa ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew John Mtigumwe akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Ukaguzi Kanda ya Kaskazini mara baada ya kuwasili kwa ziara ya kikazi.

Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala wa Wizara ya Kilimo Bi Hilda Kinanga akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Ofisi ya Ukaguzi Kanda ya Kaskazini kwa ziara ya kikazi.

Baadhi ya wafanyakazi Ofisi ya Ukaguzi Kanda ya Kaskazini-Arusha wakifatilia kikao cha kazi kilichoongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew John Mtigumwe.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew John Mtigumwe akisisitiza jambo kwa njia ya simu kwa watumishi waliopo Mjini Dodoma kuongeza ufanisi katika kazi.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More