Tuesday, December 26, 2017

MBUNGE RITTA KABATI ASHEREKEA SIKU YA KUZALIWA KWAKE NA WATOTO WA KANISA LA KKT KIHESA IRINGA

 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akitoa neno kwa watoto waliojitokeza kwenye sherehe yake ya kuzaliwa na kuamua kusherehekea nao katika kanisa la KKT Kihesa manispaa ya Iringa.
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akikata keki tayari kwa kuwalisha watoto waliokuwa wamejitokeza kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa.
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akiwalisha keki waliokuwa wamehudhuria sherehe hiyo
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akilishwa keki na mmoja wa mtoto waliokuwa wamejitokeza kushiriki naye  kwenye sherehe ya kuzaliwa kwake
  Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akilishwa keki na mmoja wa mtoto waliokuwa wamejitokeza kushiriki naye  kwenye sherehe ya kuzaliwa kwake
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akiwa katika picha ya pamoja na watoto waliohudhuria sherehe ya kuzaliwa kwake

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More