Wednesday, December 2, 2015

Sad News: Basi la Takbir Lagongana na Lori Usiku Huu na Kuua Watu Kadhaa

Habari zilizotufikia usiku huu zinaarifu kuwa watu kadhaa wamepoteza maisha katika ajali mbaya iliyotokea baada ya basi la abiria la Takbir lenye namba za usajili T 230 BRJ lililokuwa likitokea jijini Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana na lori eneo la Shelui, kijiji cha Kizonzo omkoani Singida.


Mpekuzi blog

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More