Wednesday, February 28, 2018

MJADALA WA KITAIFA UNAHITAJIKA KUHUSU FAIDA ZA MATUMIZI YA MBEGU ZA GMO KATIKA KILIMO

 Mwenyekiti wa Kavazi la kwanza la Mwalimu Nyerere kwa mwaka 2018 Dkt. Ng’wanza Kamata ambaye ni mahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), akichokoza mada kuhusu matumizi ya mbegu za GMO na teknolojia ya uhandisi jeni katika kilimo. Kulia ni Dk.Richard Mbunda  kutoka UDSM.   Wadau wakiwa kwenye mkutano huo uliofanyika Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia ((COSTECH) Dar es Salaam jana.  Mkutano ukiendelea.  Dk.Richard Mbunda  kutoka UDSM, akielezea changamoto mbalimbali zitokanazo na matumizi ya mbegu za GMO katika kilimo. Usikivu katika mkutano huo.   Dkt. Aloyce Kulaya akichangia jambo kwenye mkutano huo.  Dkt. Adolphine Kateka akichangia.  Dkt....

CCM MANISPAA YA IRINGA YATEKELEZA AHADI YA MBUNGE MSIGWA KATIKA SOKO KUU LA MANISPAA YA IRINGA.

Mwenyekiti wa chama cha mapindizi (CCM) manispaa ya Iringa Said Rubeya akimkabidhi TV na king'amuzi mwenyekiti wa masoko ya manispaa ya iringa Starmi Mathew akiwa sambamba na viongozi na wanachama wa chama hicho /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; ...

TAARIFA YA MKUU WA MKOA WA RUVUMA KWA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI TANZANIA JENERALI VENANCE MABEYO

Hii hapa Taarifa ya mkuu wa mkoa wa Ruvuma kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo katika sherehe za kumbukizi za Vita ya Maji Maji feb 28,2018...

TUMEKUSOGEZEA HOTUBA YA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI TANZANIA JENERALI VENANCE SALVATORY MABEYO KATIKA KUMBUKIZI YA VITA VYA MAJI .

Hotuba ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Salvatory Mabeyo katika kumbukizi ya vita vya Maji Maji mjini Songea Mkoani Ruvuma hapo jana....

SERIKALI YAOMBWA KUENDELEA KUTENGA BAJETI KWA AJILI YA WANAWAKE NCHINI

 Mbunge wa Jimbo la Hanang, Dk.Mary Nagu, akihutubia wakati akifungua akifungua Kongamano la Wanawake na Uongozi 2018 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana.  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TGNP Mtandao, Vicensia Shule akizungumza kwenye kongamano hilo.  Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao Lilian Liundi akihutubia.  Profesa Bernadeta Killian akitoa mada kuhusu hali halisi ya wanawake na uongozi hapa nchini.  Spika wa Bunge Mstaafu Mama Anna Makinda na Naibu Waziri wa Walemavu (Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu) – Stella Ikupa wakiwa kwenye kongamano hilo.  Wadau mbalimbali wakiwa kwenye kongamano hilo.  Mbunge wa...

VIDEO:MANAIBU WAZIRI MAVUNDE NA BITEKO WAFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA MGODI WA ALMASI MJINI SHINYANGA

Manaibu Waziri, Mhe. Antony Mavunde kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira, (wapili kushoto), na  Mhe.  Dotto Biteko, kutoka Wizara ya Madini, (wapili kulia), wakipatiwa maelezo na Mjiolojia Mkuu wa mgodi wa Al-Hilal Minerals Limited wa mjini Shinyanga, (aliyenyoosha mkono), wakati wa ziara ya kushtukiza ya viongozi hao ili kubaini kama mgodi huo unazingatia sheria katika kutekeelza majukumu yake, Ziara hiyo waliifanya Februari 27, 2018 NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, SHINYANGA NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Ajira na Vijana, Mhe. Antony Mavunde, na mwenzake wa Madini Mhe. Dotto Biteko, leo Februari 27, 2018 wamefanya ziara ya kushtukiza kwenye mgodi wa almasi...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More