Friday, March 31, 2017

MWAKALEBELA AWAPA USHAURI IRFA JUU YA MGOGORO WA TIMU YA LIPULI

Mwenyekiti Ndugu kuyava Wiki mbili nimekuwa nikifuatilia yaliyokuwa uanajiri ndani ya Lipuli FC napenda kuchukuwa nafasi hii kukupongeza kwanza wewe binafsi na pili kamati yako na ofisi ya RC kwa uamuzi chanya wa kuilea timu ili ifanye vizuri katika jukumu lililopo mbele yako.

Pili mwenyekiti nikuombe kwa hekima uliyoifanya jana basi nakuomba ukutane na pande zinazosigana ili kuondoa tofauti zilizopo na watu wawe pamoja.

Tatu Mwenyekiti wadau wasoka tukuombe kwa unyeyekevu usimamie zoezi la uchaguzi kwa timu yetu pendwa.kumbuka kwenye mkutano mkuu wa TFf Tanga mwaka jana wewe na mimi tukiwepo Rais wa tff aliagiza lipuli ifanye uchaguzi agenda hii inaweA kujitokeza mwaka huu kwenye yatokanayo ningependa mwenyekiti wangu unajibu kwa mbwembwe kuwa uchaguzi ulifanyika na ulikuwa wa haki na huru

Mwisho ni kuwaomba wana iringa kutulia na kuwaachia viongozi watuongoze TIMU ITAFANYA VIZURI

Kwa upande wake mwenyekiti wa chama cha mpira cyprian kuyava aliwashukuru kwa ushauri wenu @MWAKALEBELA  @Julli sawani  na wengine wote tumeyapokea na yote mliyoshauri tunayafanyia kazi kwa manufaa ya Iringa yetu🙏

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More