Friday, March 31, 2017

CHADEMA WAWATUMBUA VIONGOZI WAO


Na Mzidalifa Zaid 

Chama cha demokrasia na Maendeleo kanda ya kaskazini kimewavua uongozi Baadhi ya wanachama katika mkutano Mkuu ambao umefanyika mkoani tanga kwa tuhuma mbali mbali ikiwemo ya kupelekea Chama hicho kushindwa Kufanya vizur katika uchaguzi Mkuu ulopita.

Katibu Mkuu wa Chadema kanda ya kaskazini Aman gologwa amebainisha

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More