Friday, March 31, 2017

Breaking newz mbunge Ely Macha amefariki

Huyu Mbunge ametutoka Ely Macha wa CDM alikuwa kundi la walemavu -wasioona


Taarifa nilizopata kutoka kwa Mh Mbunge Jimbo la Arumeru  Joshua Nasari aliyepo masomoni Uingereza 
Ni kuwa Aliyekuwa MBUNGE Viti maalum kundi la( walemavu) Dr Ely Macha amefariki dunia asubuh ya Leo hospital ya WOLVEHAMPTON UK
Taratibu zingine zinaendelea ubalozini Uk 
Mb Nasari ataendelea kutupa mrejesho .
Poleni  Viongozi wote na wanachama na wanachi wa Usariver na Ndugu wa  Marehemu Dr Macha hasa jimbo analotokea Arumeru mashariki Nyumbani kwake Usariver  ,mkoa,Na Taifa zima kwa kuondokewa na kiongozi huyu wa kitaifa ikuwakilisha kundi la (Walemavu)
Poleni sana Chadema kiujumla.
R.I.p Dr Macha

  Imetolewa na ofisi ya Mbunge Jimbo la Arumeru mashariki 

  Julius Ayo

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More