Thursday, March 30, 2017

IRFA YAIKOA TIMU YA LIPULI



Chama cha mpira mkoa wa Iringa Waichukua Rasmi timu ya Lipuli Fc kwa ajili ya Maandalizi ya Ligi kuu.-Kuyava(Mwenyekiti IRFA)

M wenyekiti huyo ameongea na wanahabari kuhusiana na mwenendo wa timu hiyo. 

Kuwa watasimamia timu hiyo ili kuona inafanya vema ligi kuu Tanzanian bara 

Pamoja na hilo pia amesema maandalizi ya usajili yameanza kufanyika. 

Wakati mwenyekiti wa Lipuli FC Abuu changawa Majeck amepokea kwa mikono miwili uamuzi huo na kuwa anaunga mkono uamuzi uliochukuliwa na chama cha mpira wa miguu mkoa wa Iringa. 

Japo alisema wapo baadhi ya watu wamekuwa wakichochea migogoro kwa maslahi yao binafsi jambo ambalo analipinga kwa nguvu zote. 

Huku akisitisha kikao chake cha kesho na wadau na wanachama wa lipuli hadi kupisha kikao cha mkuu wa mkoa wa Iringa hapo kesho.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More