Monday, April 23, 2018

WANANCHI WA KIJIJI CHA LUMWAGO MAFINGA MJINI WASHANGILIA KUWAKA KWA UMEME TOKA WAMEZALIWA

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani,mkuu wa wilaya ya Mufindi Jamhuri Wiliam,Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi pamoja na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilaya ya Mufindi wakiwa nafungua na kuwasha umeme kwa mara ya kwanza katika kijiji cha Lumwago kata ya Upendo Halmashauri ya Mji wa Mafinga mkoani Iringa.

NA FREDY MGUNDA,IRINGA. 

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More