Thursday, April 5, 2018

JUMUIYA YA UMOJA WA WAZAZI TANZANIA MKOA WA DAR ES SALAAM, YAADHIMISHA KWA KISHINDO MIAKA 63 YA KUANZISHWA KWA UMOJA HUO. KOMREDI MPOGOLO ANOGESHA KONGAMANO LA MAADHIMISHO HAYO, KATIKA UKUMBI WA MWALIMU NYERERE, LEO.

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo  akimkabidhi Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania, mkoa wa Dar es Salaam, Abdulkadir Sharif (Scaba Scuba) Cheti cha Skurani kutoka Umoja huo Wilaya ya Kigamboni kutambua mchango mkubwa wa hali na mali ambao amekuwa akiutoa kwa jumuiya hiyo, wakati wa Kongamano la Maadhimisho ya miaka 63 ya Umoja wa Wazazi Tanzania, lililoandaliwa na Umoja huo mkoa wa Dar es Salaam, katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, leo 
MWANZO⤋
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akishuka katika gari lake baada ya kuwasili kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania, mkoa wa Dar es Salaam, kuadhimisha miaka 63 ya kuzaliwa Umoja wa Wazazi Tanzania.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akikaribishwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Kate Kamba baada ya kuwasili eneo la Ukumbi wa wa Mikutan wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere. Kulia ni Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi mkoa wa Dar es Salaam Lugano Mwafongo
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akisalimiana na Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania mkoa wa Dar es Salaam, Lugano Mwafongo baada ya kuwasili eneo la Ukumbi wa wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akisindikizwa na viongozi kwenda ukumbini baada ya kuwasili eneo la Ukumbi wa mikutano wa mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe, na kutoka kulia ni Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi mkoa huo Lugano Mwafongo na Mwenyekiti wa CCM mkoa huo Kate Kamba 
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akipata maelezo ya awali kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania mkoa wa Dar es Salaam Frank Kamugisha baada ya kuwasili katika chumba cha Wageni maarufu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania mkoa wa Dar es Salaam, Lugano Mwafongo (kushoto) akiwa na Katibu wa CCM mkoa huo Saad Kusilawe wakati wa mazungumzo hayo.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akiwaunga mkono wajumbe waliokuwa wakimshangilia baada ya kuwasili ukumbini kwenye Kongamano la miaka 63 ya kuzaliwa kwa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, yaliyoandaiwa na Umoja huo mkoa wa Dar es Salaam. Kulia ni mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa dar es Salaam Frank Kamugisha.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akiwa na viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania mkoa wa Dar es Salaam, tayari kushiriki kongamano hilo
 Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Wazazi mkoa wa Dar es Salaam Mwinyimkuu Sangaraza akifungua pazia la kongamano hilo kwa kufanya utambulisho
 "Jamani sare maalum ya sherehe hizi ilichelewa kidooogo, lakini ninayo imeshafika hii hapa" akasema Sangaraza na kuwaacha wajumbe na mgeni rasmi wakicheka
 Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ilala akisalimia baada ya kutambulishwa
 Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya umoja wa Wazazi mkoa wa Dar es Salaam wakisalimia baada ya ktambulishwa. Kutoka Kushoto ni Katibu wa Uchumi na Fedha habib Nasser, Mwafongo na Kamugisha
 Wazee wa Jumuiya ya Umoja wa wazazi mkoa wa Dar es Salaam (mstari wa mbele) wakiwa kwenye kongamano hilo
 Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania mkoa wa Dar es Salaam, Lugano Mwafongo akizungumza kwenye kongamano hilo.
 Wajumbe wakimshangilia Mwanfongo wakati akifanya utambulisho
 Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Jumiya ya Umoja huo Mzee Mkali akisalimia baada ya kutambulishwa
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam Frank Kamugisha akitoa nafasi ya kufanywa dua na maombi kabla ya kongamano kuanza rasmi
 Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania, mkoa wa Dar es Salaam, Sheik Abdulkadir Sharif (Scaba Scuba) akiomba dua kabla ya kongamano kuanza
 Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania, mkoa wa Dar es Salaam, Sheik Abdulkadir Sharif (Scaba Scuba) akiomba dua kabla ya kongamano kuanza
 Wajumbe wakipokea dua ya Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania, mkoa wa Dar es Salaam, Sheik Abdulkadir Sharif (Scaba Scuba) kabla ya kongamano kuanza
 Katibu wa Elimu, Malezi na Mazingira wa Jumiya ya Umoja wa Wazazi mkoa wa Dar es Salaam Wilson Tobola akisoma maombi kabla ya kongamano hilo kuanza
 Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi mkoa wa Dar es Salaam Lugano Mwafongo akisoma taarifa ya maadhimisho ya miaka 63 ya Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania wakati wa Kongamano hilo
 Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi mkoa wa Dar es Salaam Lugano Mwafongo akimkabdhi taarifa hiyo Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo baada ya kuisoma
 Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania mkoa wa Dar es Salaam Beatrice Mandia akizungumzia maadili wakati wa kongamano hilo
 Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania mkoa wa Dar es Salaam Habib Nasser akitangaza Wajumbe wa Baraza la Uchumi na fedha kwenye kongamano hilo  
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana mkoa wa Dar es Salaam akisalimia  
 Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji la Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania mkoa wa Dar es Salaam ndugu Busolo akizungumza kwenye kongamano hilo 
 Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania mkoa wa Dar es Salaam, Mzee Mkali akizungumza kwenye kongamano hilo
 Vijana wa Vyombo vya Habari vya CCM Jumanne Gude wa Gazeti la Uhuru na mwenzake kutoka Uhuru FM wakiwa makini wakati wakichukua taarifa kwenye kongamano hilo
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Kate kamba akizungumza  katika kongamano hilo
 Mwenyekiti wa Jumuiya wa Umoja wa Wazazi mkoa wa Dar es Salaam Frank Kamugisha akimkaribisha mgeni rasmi kuzungumza kwenye kongamano hilo
 Baadhi ya wajumbe ukumbini
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akizungumza na wajumbe wakati wa kongamano hilo
 Baadhi ya wajumbe ukumbini
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo  akimkabidhi Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania, mkoa wa Dar es Salaam, Abdulkadir Sharif (Scaba Scuba) Cheti cha Skurani kutoka Jumuiya ya Umoja huo Wilaya ya Kigamboni kutambua mchango mkubwa wa hali na mali ambao amekuwa akiutoa kwa jumuiya hiyo, wakati wa Kongamano hilo.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo  akimkabidhi Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania, mkoa wa Dar es Salaam, Abdulkadir Sharif (Scaba Scuba) Cheti cha pongezi kutoka Jumuiya ya Umoja huo mkoa wa Dar es Salaam, wakati wa kongamano hilo
 Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania, mkoa wa Dar es Salaam, Abdulkadir Sharif (Scaba Scuba) akifurahia baada ya kupewa Cheti cha Skurani kutoka Jumuiya ya Umoja huo Wilaya ya Kigamboni kutambua mchango mkubwa wa hali na mali ambao amekuwa akiutoa kwa jumuiya hiyo. 
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo  akimkabidhi Doto Msawa Cheti cha Skurani kutoka Jumuiya ya Umoja huo Wilaya ya Kigamboni kutambua mchango mkubwa wa hali na mali ambao amekuwa akiutoa kwa jumuiya hiyo
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo  akiendelea kukabidhi tuzo za shukrani na pongezi kwa viongozi mbalimbali
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo  akiendelea kukabidhi tuzo za shukrani na pongezi kwa viongozi mbalimbali
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo  akiendelea kukabidhi tuzo za shukrani na pongezi kwa viongozi mbalimbali, anayekabidhiwa ni katibu wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ilala
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo  akiendelea kukabidhi tuzo za shukrani na pongezi kwa viongozi mbalimbali, Anayekabidhiwa ni Ndugu Busoro
 Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam akimpongeza Busoro
 Frank Nkinda (kulia) ambaye ni Msaidizi wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akiwa ukumbini
 Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe akizungumza kutoa neno la shukurani mwishoni mwa kongamano hilo
PICHA ZA PAMOJA⇩


 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akiagana na wajumbe baada ya kongamano hilo
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo  akiagana na Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania, mkoa wa Dar es Salaam, Abdulkadir Sharif (Scaba Scuba)  mwishoni mwa kongamano hilo.
Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe (kushoto) akiondoka ukumbini mwishoni mwa kongamano hilo la Maadhimisho ya miaka 63 ya kuanzishwa kwa  Umoja wa Wazazi Tanzania, lilioandaliwa na Jumuiya ya Umoja huo mkoa wa Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More