Tuesday, April 24, 2018

MICHEZO YA MEI MOSI MKOANI IRINGA YASHIKA KASI,HUKU TRA IKIPATA USHINDI KWA TAABU SANA

 Wachezaji wawili waliozavalia jezi za rangi ya njano na nyeusi ni wachezaji wa timu ya mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) wakijaribu kumnyang'anya mpira mcheza wa timu ya Ukaguzi katika mchezo uliochezwa hii leo jioni katika dimba la kumbukumbu ya Samaro
 Mchezaji hatari katika mchezo wa leo wa timu ya TRA mwenye jenzi ya njano na nyeusi akielekea kutoa pasi ya goli huku beki wa timu ya Ukaguzi akiishia kumuangalia tu kwa macho
 TRA wakipata goli lao la kwanza na la ushindi leo katika uwanja wa Samora uliopo manispaa ya Iringa
 Golikipa wa timu ya ukaguzi akiwa hana la kufanya zaidi ya kuutolea macho mpira ukiingia nyavuni
 Wachezaji wa timu ya TRA wakishangilia mara baada ya kupa goli ambalo pia limekuwa goli lao la ushindi katika mchezo wa leo
 Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza na Kocha wa timu ya Lipuli wanapaluengo Suleman Matola walikuwepo kwenye michezo huo uliofanyika katika uwanja wa kumbukumbu ya Samora manispaa ya Iringa

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More