Saturday, March 3, 2018

MADIWANI NAMTUMBO WAMKATAA MKUU WA WILAYA HIYO,WAMUOMBA RAIS AMWAMISHE.

Balaza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya NAMTUMBO mkoani RUVUMA, limefikia maamuzi ya kumkataa mkuu wa wilaya hiyo LUCKNESS AMLIMA na kumuomba rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli kufanya mabadiliko kwa kumuondoa ili kuharakisha shughuli mbali mbali za maendeleo katika wilaya hiyo ambazo zimekwama kutokana na migongano na migogoro ya mara kwa mara baina yake na viongozi mbalimbali wa kisiasa katika halmashauri hiyo wakiwemo madiwani na wananchi.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More