Sunday, April 30, 2017

STEVE LIHAWA: NIDHAMU YA WEUSI KUTAWALA KWENYE MICHEZO


Na Steve Lihawa, Ebony fm Iringa

Angalia hiyo Picha
Achana na ushindi na Joshua,
Achana na KO
Achana na rekodi zake joshua,achana na kila kitu kuhusu yeye,
Unamkumbuka martin Luther king,
I HAVE A DREAM?
unayemyona hapo ni mrusi kapiga magoti chini kwa mtu mweusi,mtu ambaye wazungu wanaamini watamtalawa daima,mtu asiye na akili,lakini eneo moja ambalo ngozi nyeusi haizuiliki ni kwenye kupambana,yes,huwa haiwezekani kumzuia mtu mweusi,unaanzaje?
Muangalie kante pale uingereza,muangalie serena William's, muangalie usain bolt,unaamzaje kumshinda mtu mweusi kwenye mapambano? Hapa ndipo wazungu wanapikubali rohoni lakini hawataki Usoni,nan kakwambia mrusi anaweza piga magoti kirahisi? Umeona wapi?
Ndio hii ndio maana halisi ya uwazi,wazungu wanapigwa nje lakini hawataki kusema,nikikumbuka nyakati zao wanatufanya wanavyotaka naumia,lakini dunia na maisha yanaendelea,sasa wazungu wanapiga magoti mbele ya ngzi nyeusi,dunia iktizama,
Maisha yana funzo sana,maisha yanazunguka Sana, malipo yako hapa hapa duniani,
Wazungu hawataki hii lakini hawawezi kuizuia,
Nenda kwenye music angalia ngozi nyeusi inavyotesa,Obama ametoka kuwaumiza jamaa juzi tu kuongoza Taifa kubwa akiwa na ngozi nyeusi,hawapendi lakini huwez zuia mafuriko,
Sitak ushindi wa Joshua lakini nimemuona mzungu akipiga magoti mbele ya ulimwengu,
......
Maisha yanazunguka popote ulipo usitumie nafasi yako na uwezo wako vibaya, huijui Kesho yako
😂😂😂😂
Huwa naandika sana hapa kuhusu waswahili hawa,hawaishi kunipa raha.. Babu zetu waliteseka sana gizani na ngozi zao gizani
Sasa sisi tunawatesa na ngozi zao kweupe

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More