Saturday, April 29, 2017

AJALI USIKU HUU MAENEO IDARA YA MAJI MANISPAA YA IRINGA

Chanzo cha ajali hii ni mwendokasi wa Dereva uliopelekea kushindwa kupita vizuri kwenye mzunguko uliopo maeneo ya idala ya maji ndani ya Manispaa ya iringa lakini hakuna kifo bali kuna majeruhi tu Habari kamili itakujia hivi punde

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More