Thursday, October 26, 2017

MADHARA YA KUTUMIA DAWA ZA ANTIBIOTICS KIHOLELA

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amezungumza na BMG na kueleza madhara yatokanayo na matumizi ya dawa za kutibu magonjwa yanayosababishwa na bakteria (ANTIBIOTICS) kiholela bila kufuata ushauri wa daktari.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More