Monday, October 30, 2017

DKT MWANJELWA AAGIZA WATUMISHI KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe Dkt Mary Machuche Mwanjelwa (Mb) akizungumza wakati wa kikao cha kazi na Wakuu wa Idara na Vitengo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa wizara ya Kilimo (Kilimo IV)
Wakuu wa Idara na Vitengo wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe Dkt Mary Machuche Mwanjelwa (Mb) wakati wa kikao cha kazi kwenye Ukumbi wa Mikutano wa wizara ya Kilimo (Kilimo IV)
Kikao kikiendelea
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew John Mtigumwe akizungumza wakati wa kikao cha kazi kilichoongozwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe Dkt Mary Machuche Mwanjelwa (Mb)
 Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe Dkt Mary Machuche Mwanjelwa (Mb) (Kushoto) na Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew John Mtigumwe wakifatilia kikao cha kazi kilichowakutanisha na Wakuu Idara na Vitengo
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utafiti Dkt Mansoor Hussein

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More