Tuesday, October 31, 2017

MWENYEKITI (CWT) MUFINDI OBI KIMBALE SERIKALI LIPENI MADENI YA WALIMU KWANZA

12.00  Mwenyekiti chama cha walimu wa Tanzania (CWT) wilaya ya Mufindi Obi Kimbale akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano mkuu wa chama cha walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Mufindi mkoani Iringa. Baadhi ya walimu waliohudhuria mkutano mkuu wa chama hicho wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa. Na Fredy Mgunda,Mufindi Chama cha walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Mufindi mkoani Iringa kimeitaka serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kutatua changamoto za walimu ili kukuza na kuboresha sekta ya elimu ambayo ndio kiungo muhimu katika maendeleo ya nchi yoyote duniani. Akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho mwenyekiti wilaya ya Mufindi Obi Kimbale aliitaka serkali kulipa madeni wanayoidaiwa...

MBUNGE KABATI ACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI SHULE YA MSINGI IGELEKE

MBUNGE wa viti maalum, Ritta Kabati akizungumza na kamati ya shule na wazazi ambao hawapo pichani juu ya ukarabati wa shule ya Msingi Igeleke ambayo inakabiliwa na uchakavu wa majengo na miundo mbinu mibovu hali inayohatarisha afya na usalama wa wanafunzi na walimu. Picha na Denis Mlowe …………………. NA DENIS MLOWE, IRINGA   MBUNGE wa viti maalum mkoa wa,Iringa kwa tiketi ya CCM Ritta Kabati amechangia kiasi cha mifuko ya saruji 100 na siling’ibodi 100 kwa shule ya msingi Igeleke iliyoko katika manispaa ya Iringa kutokana na  uchakavu wa majengo ya shule hiyo.   Akizungumza na kamati ya shule na wazazi wa shule hiyo mara baada ya kufanya ukaguzi wa miundo mbinu ya shule hiyo...

KIKOSI KAZI SEKTA YA ARDHI CHAKUTANA KUREJEA MWONGOZO NA KUKAMILISHA MKAKATI,MOROGORO

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; ...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More