Wednesday, January 31, 2018

MBUNGE CHUMI AITAKA SERIKALI KUWAPA VYETI WALIOPOTEZA

Mbunge wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi ameishauri Serikali kuwapa vyeti au nakala ya vyeti vya kidato cha nne na sita watu ambao kwa namna moja au nyingine walipotelewa na vyeti hivyo. Chumi alitoa ushauri huo kufuatia majibu ya Serikali kuwa imekuwa vigumu kuwapa vyeti watu waliomaliza masomo kabla ya mwaka 2009 kwa madai kuwa vyeti vya wakati huo havikuwa vinawekwa picha ya mhitimu. Mbunge huyo alieleza kuwa, ili kuwaondolea usumbufu waliopoteza vyeti, serikali ikishathibitisha kuwa muhusika ndio mtu sahihi, basi apewe japo nakala ya cheti kama wanavyofanya Vyuo Vikuu. Awali katika swali lake la msingi, Chumi alitaka kufahamu utaratibu unaotumika kwa mtu aliyepoteza cheti na kwanini kumekuwa na ucheleweshaji wa huduma hiyo kwa watu...

UWT MANISPAA YA IRINGA WAAZIMISHA MIAKA 41 KWA KUFANYA USAFI NA KUTOA ZAWADI KATIKA KITUO CHA AFYA CHA NGOME

 mwenyekiti wa wanawake wa chama cha mapinduzi (UWT) manispaa ya Iringa Ashura Jongo akiwa na viongozi wengi wameazimisha miaka arobain na moja (41) kwa kufanya usafi katika kituo cha afya cha ngome pamoja na kugawa zawadi mbalimbali kwa wagonjwa   Huyu ni mmoja ya wanawake wa umoja wa chama cha mapinduzi CCM waliokuwa wakitoa zawadi kwenye kituo cha afya cha Ngome kata ya Kihesa manispaa ya Iringa  Umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi (UWT) manispaa ya Iringa wameazimisha miaka arobain na moja (41) kwa kufanya usafi katika kituo cha afya cha ngome pamoja na kugawa zawadi mbalimbali kwa wagonjwa ambalo wamelazwa katika kituo hicho kwa lengo la kuwafikia na kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi Umoja...

MTULIA AZIDI KUITEKA KINONDONI ... SERA ZAKE ZAWA GUMZO

Mgombea Ubunge katika jimbo la Kinondoni kupitia tiketi ya CCM akinadi ser zake jukwaani na kuomba kura kwa wapiga kura wa Kata ya Ndugumbi. ********** *YALIYOSEMWA NA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KINONDONI, MAULID SAID MTULIA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI KATA YA NDUGUMBI JUMANNE JANUARI 30, 2018* "Kama Mtulia angekuwa amenunuliwa asingepewa tena dhamana ya kugombea Ubunge " - Mtulia "Ningekaaje kwenye chama ambacho Mwenyekiti na Katibu hawaelewani, nimejitoa ili niwe na uhuru wa kuwatumikia wana Kinondoni." - Mtulia "Kile chama hamkusikia kimesimamisha wabunge 8, mlitaka nami nisimamishwe?" - Mtulia "Mtulia nimejiuzulu ili kuwaokoa Wananchi wa jimbo la Kinondoni" - Mtulia "Kuhama chama ili kujiunga na chama...

MBUNGE KABATI ATOA MSAADA WA MIFUKO 25 YA SARUJI KATIKA KANISA LA FREE PENTECOST CHURCH OF TANZANIA

12.00 Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-priority:99; mso-style-qformat:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in...

Tuesday, January 30, 2018

TANZANIA YAPOKEA MSAADA WA TRIONI MOJA KUTOKA GLOBAL FUND KUSAIDIA TB,UKIMWI NA MALARIA

 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Makamu wa Rais (Sera na Uratibu), Profesa Faustine Kamuzora (kulia), na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Khamisi Shaaban, wakisaini hati za makabidhiano ya sh. trioni moja zilizotolewa na Shirika la Global Fund kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kusaidia mapambano ya Ukimwi, TB na Malaria katika hafla iliyofanyika Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es Salaam leo. Wengine waliosimama katikati ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu  na viongozi wengine kutoka Global Fund. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dk. Mpoki Ulisubisya, akizungumza katika hafla hiyo. Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, Frederic Clavier, akizungumza...

Monday, January 29, 2018

DKT. MWANJELWA AISHUKURU CHINA KWA KUONYESHA NIA YA KUISAIDIA TANZANIA KWENYE MAENDELEO YA TAFITI ZA KILIMO CHA MINAZI NA MIHOGO

Naibu Waziri, Wizara ya Kilimo Dkt. Mary Mwanjelwa akimweleza mgeni wake Naibu Waziri wa Kilimo wa China, Dkt. Qu Dongyu namna ambavyo Kituo cha Utafiti Mikocheni kinavyochangia kwenye kuongeza tija na uzalishaji katika Sekta ya Kilimo kushoto kwa Dkt. Mwanjelwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Dkt. Thomas Kashillilah Naibu Waziri, Wizara ya Kilimo Dkt. Mary Mwanjelwa akiwa na mgeni wake Naibu Waziri wa Kilimo wa China, Dkt. Qu Dongyu katika moja ya maabara ya Kituo cha Utafiti Mikocheni Naibu Waziri, Wizara ya Kilimo Dkt. Mary Mwanjelwa akiwa na mgeni wake Naibu Waziri wa Kilimo wa China, Dkt. Qu Dongyu wakimsikiliza Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa Magonjwa ya Mimea Dkt. Deusdeth Mbanzibwa katika moja ya maabara ya Kituo...

MWANAUME ATUHUMIWA KUMUUA MKE NA MTOTO WAKE WILAYANI CHATO

Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye eneo ambalo kumetokea tukio. Jirani wa Familia ambapo kumetokea mauaji Bi,Mariam Shija akizungumza na waandishi wa habari kwa masikitiko juu ya tukio hilo. Diwani wa Kata  Minkoto   , Bw Geroge Magezi akiwasisitiza wananchi kushiriana na jeshi la Polisi kwenye suala la ulinzi na usalama. Dk Masanja Mchanganya anayetokea kituo cha afya cha Bwanga akielezea namna ambavyo wamebaini mwili wa marehemu majeraha yaliyopo baada ya kufanya uchunguzi. Na,Joel Maduka,Chato. Mkazi wa kijiji cha Minkoto Wilaya ya Chato Mkoani Geita Bw Hoja Kasumbakabo ( 25) anatuhumiwa kumuua mke wake Spensioza Petro (22) kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali mwilini na kisha kumnyonga mtoto Brison...

KATIBU WA CCM KATA YA BUHALAHALA ATUHUMIWA KUTAFUNA KIASI CHA SH MILIONI 20

Ofisi za  kikundi cha wajasiliamali (KIWAGE) zilizopo mtaa wa Shilabela Mjini Geita  zikiwa zimefungwa . Mwenyekiti wa Mtaa wa Shilabela   Bw,Elias  Mtoni akielezea suala la vikundi ambavyo vimeonekana kuwa na dhana ya utapeli juu ya fedha za wajalisiamali . Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Geita,Leornad Kiganga Bugomola akizungumza juu ya uwepo wa taarifa za kiongozi ambaye analalamikiwa kutokomea na fedha za wajasiliamali. Na,Joel Maduka,Geita... Katibu wa chama cha mapinduzi CCM kata ya Buhalahala mjini Geita Lazaro Kagoma  anatuhumiwa kutafuna kiasi cha zaidi ya milioni 20 ambazo  zilitolewa na halmashauri ya mji wa Geita kwa kikundi cha wajasiliamali Geita (KIWAGE)walipatiwa...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More