Sunday, April 30, 2017

STEVE LIHAWA: NIDHAMU YA WEUSI KUTAWALA KWENYE MICHEZO

Na Steve Lihawa, Ebony fm Iringa Angalia hiyo Picha Achana na ushindi na Joshua, Achana na KO Achana na rekodi zake joshua,achana na kila kitu kuhusu yeye, Unamkumbuka martin Luther king, I HAVE A DREAM? unayemyona hapo ni mrusi kapiga magoti chini kwa mtu mweusi,mtu ambaye wazungu wanaamini watamtalawa daima,mtu asiye na akili,lakini eneo moja ambalo ngozi nyeusi haizuiliki ni kwenye kupambana,yes,huwa haiwezekani kumzuia mtu mweusi,unaanzaje? Muangalie kante pale uingereza,muangalie serena William's, muangalie usain bolt,unaamzaje kumshinda mtu mweusi kwenye mapambano? Hapa ndipo wazungu wanapikubali rohoni lakini hawataki Usoni,nan kakwambia mrusi anaweza piga magoti kirahisi? Umeona wapi? Ndio hii ndio maana halisi ya uwazi,wazungu...

Saturday, April 29, 2017

AJALI USIKU HUU MAENEO IDARA YA MAJI MANISPAA YA IRINGA

Chanzo cha ajali hii ni mwendokasi wa Dereva uliopelekea kushindwa kupita vizuri kwenye mzunguko uliopo maeneo ya idala ya maji ndani ya Manispaa ya iringa lakini hakuna kifo bali kuna majeruhi tu Habari kamili itakujia hivi pu...

MAJI MAPYA, MAJI MKWAWA KUINGIA SOKONI

SERIKALI imeipongeza familia ya mfanyabiashara Ahamed Huwel kwa kuitikia wito wa Rais John Magufuli wa kuifanya Tanzania nchi ya viwanda kwa kuanzisha kiwanda cha kisasa cha maji mjini Iringa yanayojulikana kwa jina la Maji Mkwawa. Maji hayo yaliyoingizwa sokoni hivikaribuni yalizinduliwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza wakati wa uzinduzi wa mashindano ya magari Iringa yaliyodhaminiwa na kiwanda hicho, wiki iliyopita. Akizungumza wakati wa kutoa zawadi kwa washindi wa shindano hilo la magari Mkuu wa Mkoa alisema; “Uzalendo ni pamoja na kujivunia kile tunachozalisha.” Alisema Ahamed Huwel ametekeleza kwa vitendo kauli ya Rais Dk Magufuli ya Tanzania ya Viwanda kwa kuanzisha kiwanda hicho...

DK MSAMBATAVANGU AENDELEA KUSHIKILIWA NA POLISI

Jeshi la Polisi Mkoani Iringa linaendelea kumshikilia Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa, Dk Jesca Msambatavangu anayetuhumiwa kumshambulia na kumsababishia maumivu makali mwilini mwanamke mmoja, ambaye jina lake bado halijafahamika. Mpaka jana jioni wakili wake aliyetajwa kwa jina moja la Chaula na wadhamini wake walikuwa wakiendelea na taratibu za kumdhamini kada huyo wa CCM wa zamani huku kukiwa hakunataarifa zozote zinazoashiria kupewa dhamana hiyo. Akizungumza kwa kifupi kuhusiana na tukio hilo juzi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Julius Mjengi alisema kada huyo wa zamani wa CCM alikamatwa juzi mchana, akituhumiwa kutenda kosa hilo wiki iliyopita akiwa na wenzake ambao majina...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya April 29

...

RIP MY GUARDIAN ANGEL ISABELLA

I do not pretend to be older than many but the truth is that, I'm old enough to confess that life is indeed a mystery. I've seen a Landlord becoming a tenant of his former tenant before his death.  I know a student who became the Vice Chancellor in his former University with most of his lecturers still teaching under him. I have seen a rejected person becoming the bread winner for a whole community. A victor becoming a victim. A driver conductor buying the bus of his master. And A borrower recruiting his erstwhile credit bank manager.  In life, no one knows tomorrow & you can never trust life, because it is mysterious.  Never ever forget. U may not know...

Friday, April 28, 2017

MIGODI INAYOMILIKIWA NA KAMPUNI YA ACACIA YAWA KIVUTIO KATIKA MAONESHO YA WIKI YA USALAMA NA AFYA MAHALA PA KAZI.

Maonesho ya Wiki ya Usalama na Afya mahala pa kazi yanayofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro. Maonesho haya yanayohusisha kampuni na Taasisi mbalimbali nchini yanaratibiwa na Wakala wa Usalama na Afya mahala pa Kazi (OSHA). Baadhi ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya ACACIA,wakiweka sawa moja ya picha inayoonesha eneo ambalo shughuli za uchimbaji unafanyika. Afisa Uhakiki na Usalama katika Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na kampuni ya ACACIA,Amina Mohamed akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea banda hilo. Baadhi ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya ACACIA,wakitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea banda hilo katika maeonesho ya wiki ya usalama...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More