
Na Steve Lihawa, Ebony fm Iringa
Angalia hiyo Picha
Achana na ushindi na Joshua,
Achana na KO
Achana na rekodi zake joshua,achana na kila kitu kuhusu yeye,
Unamkumbuka martin Luther king,
I HAVE A DREAM?
unayemyona hapo ni mrusi kapiga magoti chini kwa mtu mweusi,mtu ambaye wazungu wanaamini watamtalawa daima,mtu asiye na akili,lakini eneo moja ambalo ngozi nyeusi haizuiliki ni kwenye kupambana,yes,huwa haiwezekani kumzuia mtu mweusi,unaanzaje?
Muangalie kante pale uingereza,muangalie serena William's, muangalie usain bolt,unaamzaje kumshinda mtu mweusi kwenye mapambano? Hapa ndipo wazungu wanapikubali rohoni lakini hawataki Usoni,nan kakwambia mrusi anaweza piga magoti kirahisi? Umeona wapi?
Ndio hii ndio maana halisi ya uwazi,wazungu...