Thursday, September 7, 2017

TUNDU LISSU APIGWA RISASI

Image result for tundu lissu apigwa risasi

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema kuwa Mh. Lissu amepigwa risasi zaidi ya mbili alipokuwa amweetoka bungeni na kwenda nyumbani kwakwe kwa ajili ya chakula cha mchana.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopo ni kwamba amekimbizwa hospitali na sasa yupo chumba cha upasuaji.


Endelea kufuatilia ukurasa huu kwa ajili ya kufahamu taarifa zaidi.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More