Saturday, August 19, 2017

NI MLIPUKO MKUBWA WA INJILI JIJINI MWANZA, USIKOSE!

Karibu kwenye mkutano huu mkubwa wa Injili uliondaliwa na kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza. Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola atakuwa mwenyeji wa Mchungaji Mathias Roggers kutoka Marekani pamoja na waimbaji mbalimbali. Usikose!

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More