Monday, January 30, 2017

MWANASOKA DAVID AFARIKI DUNIA

Golikipa wa timu ya Kagera Sugar, David Abdalah Burhan ambaye pia amewahi kuchezea klabu mbalimbali za ligi kuu amefariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando.

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amethibitisha kutokea kifi hicho na kutuma salamu zake za pole kwa familia pamoja na klabu ya Kagera Sugar na kwa wote ambao wameguswa na kifo cha mchezaji huyo.
“Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha David Abdalah Burhan mchezaji...

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More