
Mkuu wa zamani wa mkoa wa zamani wa Katanga, Moïse Katumbi, wakati wa mahojiano Lubumbashi, Juni 2, 2015.
Mwanasiasa
wa upinzania, ambaye aliwahi kuwa mshirika wa karibu wa Rais Joseph
Kabila, Moise Katumbi Chapwe, amesema anaunga mkono tangazo la muungano
wa vyama vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wa
“Rassemblement” na kuwatolea raia wito wa kusalia nyumbani Jumanne
Agosti 2...