Friday, March 20, 2015

MKURUGENZI WA TIGO JACKSON KISWAGA ATUMIA ZAIDI YA SH MILIONI 10 KUFANIKISHA LIGI SOKA WILAYA YA IRINGA MAARUFU KAMA KISWAGA CUP

Kamu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano akikabidi jezi kwa moja ya timu zinazoshiriki ligi ya wilaya ya Iringa (Kiswaga Cup) anayeshuhudia kushoto ni mdhamini wa ligi hiyo Jackson Kiswaga ambaye pia ni Mkurugenzi wa Tigo Nyanda za Juu Kusini Akikabidhi vifaa hivyo Kiswaga akieleza sababu za kufadhili ligi hiyo kwa lengo la kukuza sekta ya mchezo wa soka wilayani Iringa Wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa timu hizo  na fredy mgunda,iringa “HAKIKUSOEA hata kidogo; kilicheza karata yake vizuri,” maneno hayo yanaweza kusemwa na mpenda soka yoyote wa wilaya ya Iringa baada ya Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Iringa (IDFA) April 26, 2014 kumteua na kumsimika Mkurugenzi wa Kampuni...

Monday, March 16, 2015

VIONGOZI WA ALBINO MANISPAA YA IRNGA WAMBARIKI FRANKI KIBIKI KATIKA HARAKATI ZAKE ZA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA IRINGA MJINI

 mwanahabari frank kibiki, aliyewahi kuwa katibu wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (uvccm) ngazi ya wilaya kwa zaidi ya miaka 10 na ambaye ni mjumbe wa nec.  na mwandishi wetu,iringa /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; ...

TAMKO LA RSA KUHUSU AJALI NA HALI YA USALAMA BARABARANI

TAMKO LA RSA KUHUSU AJALI ZA BARABARANI (1).docx by mobl...

Thursday, March 12, 2015

ZAIDI ya watu 40 wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea katika mji mdogo wa mafinga

Hili  ndilo  eneo la ajali  basi  likiwa limefunikwa na kontena la Lori Hili  ndilo  shimo  chanzo  cha ajali Baadhi ya majeruhi  wa ajali  hiyo Miili zaidi  ikiondolewa  eneo la  tukio Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ZAIDI ya watu 40 wamepoteza...

Wednesday, March 11, 2015

IRINGA KIBIKI CHILDREN CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI IRINGA

 MRATIBU WA KIBIKI CUP HARUNA SALEH AKIWA NA MDAU WA SOKA FRANK KIBIKI MRATIBU WA KIBIKI CUP HARUNA SALEH AKIWA NA MDAU WA SOKA FRANK KIBIKI na wanahabari   NA MWANDISHI WETU, IRINGA LIGI inayoshirikisha  watoto walio chini ya umri wa miaka 16, inaloitwa  Iringa Kibiki Childrens Cup 2015 yenye lengo la kupinga mauaji ya walemavu wa ngozi (Albino) inatarajia kuanza kutimua vumbi jumamosi ikishirikisha timu nane za manispaa ya Iringa. Mratibu wa ligi hiyo, Haruna Salehe alisema lengo la mpira huo ni kukuza vipaji vya watoto na kueneza ujumbe wa kupinga ukatili na mauaji yanayofanywa kwa walemavu wa ngozi nchini. Alisema ligi hiyo iliyobuniwa na kuendeshwa na mwandishi wa habari wa gazeti...

Friday, March 6, 2015

WAKAZI 10000 KUNUFAIKA NA UKARABATI BWAWA LA KALEMAWE

Mshehereshaji wa kongamano la siku moja lililofanyika jijini Dar kuzungumzia ukarabati na uendeshaji wa bwawa la Kalemawe lililopo wilayani Same mkoani Kilimanjaro, Mtaalamu wa masuala ya fedha wa UNCDF, Bw. Imanuel Muro akisherehesha kongamano hilo. Katikati ni mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Same, Herman Kapufi akifuatiwa na Mkuu wa ushauri wa ufundi wa Mfuko wa Umoja wa mataifa wa Ukuzaji Mitaji (UNCDF), Bw. Peter Malika. Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya watu 10,000 wanaozunguka bwawa la Kalemawe wilayani Same mkoani Kilimanjaro watanufaika na ukarabati wa bwawa hilo na kuwekewa muundo mpya wa kiutawala na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Ukuzaji wa Mitaji (UNCDF). Bwawa hilo ambalo lipo katika kata za Kalemawe na Ndungu lilijengwa na watawala...

JESHI LA POLISI KAGERA LAANZA KUWANUSURU ALBINO NA KIFO...LAANZA KUWASAKA WAGANGA NYUMBA HADI NYUMBA

JESHI la Polis mkoani Kagera limeanza opereisheni ya kuwasaka waganga na wapiga ramli,ikiwa ni harakati za kutokomeza vitendo vya mauaji vinavyodaiwa kusababishwa na baadhi ya waganga wa kienyeji kwa kutoa ushauri kwa waharifu. Opereisheni hiyo endelevu imeanza  Machi 4 kwa kuwahusisha katika wilaya ya Biharamulo kwa kuwashirikisha askari Polis pamoja na kikosi cha Mali Asili,nakufanikiwa kuwakamata jumla ya wapiga ramli 18 waliokuwa katika viji vya kata nne za Kabindi,Nyamigogo,Runazi na Nyabizozi zote zikiwa ndani ya tarafa Nyarubunga wilayani Biharamulo.   Kamanda wa jeshi la Polis mkoani hapa Hennry Mwaibambe,akiongea katika tukio hilo katika kituo cha Polis Kabindi,Opereisheni hiyo imeanza ili...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More