Tuesday, June 20, 2017

VIDEO: BUNGE LA WATOTO LAVUTIA WENGI MKOANI MWANZA

Jana juni 16,2017 mataifa mbalimbali barani Afrika yaliungana pamoja kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika. Mkoani Mwanza, maadhimisho hayo yalifanyika uwanja wa Furahisha kwa kujumuisha matukio mbalimbali ya watoto. Wengi walivutiwa na kipengere cha bunge la Watoto mkoani Mwanza kwenye maadhimisho hayo yaliyokuwa na kaulimbiu ya "Maendeleo Endelevu 2030: Imarisha Ulinzi na Fursa Sawa kwa Watoto.
Tazama video

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More