Sunday, August 30, 2015

CHADEMA YAZINDUA KAMPENI JIMBO LA KALENGA

Na Mathias Canal, Iringa  vijijini Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kupitia Umoja wa katiba ya Wananchi {UKAWA} kimezindua kampeni zake katika Jimbo la Kalenga lililopo mkoani Iringa kwa muktadha wa kuanza vyema mikikimikiki ya kumnadi mgombea wake ambaye mara kadhaa amesikika akisema jimbo hilo limekosa muwakilishi wa wananchi bungeni.  Chadema/ukawa inataraji kuanza kampeni zake za kumnadi mgombea wa Urais, wagombea ubunge, na udiwani mara baada ya uzinduzi wa kampeni zinazotaraji kufanyika mwishoni mwa wiki hii.  Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hizo zilizofanyika katika eneo la Ifunda, mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema/Ukawa, Mdede Mussa Leonard amesema kuwa...

Sunday, August 2, 2015

DOSARI YAJITOKEZA KURA ZA MAONI UBUNGE JIMBO LA IRINGA MJINI, MGOMBEA ATAKA MCHAKATO USITISHWE

frank Kibiki ambaye pia ni Mwanahabari wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo wa mkoani frank Kibiki akionyesha walivyo kosea jina lake. na mwandishi wetu,iringa WAKATI kura za maoni za kutafuta wagombea ubunge katika majimbo yote nchini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) zikipigwa leo, mmoja kati ya wagombea 13 wanaotafuta nafasi hiyo Jimbo la Iringa Mjini, Frank Kibiki anataka zoezi hilo jimboni humo libatilishwe. Wagombea wengine ni pamoja na Dk Augustino Maiga, Dk Yahaya Msigwa, Frederick Mwakalebela, Nuru Hepautwa, Michael Mlowe, Aidan Kiponda, Addo Mwasongwe, Jesca Msambatavangu, Mahamudu Mgimwa, Peter Mwanilwa na Fales Kibasa. Akizungumza na wanahabari hii leo, Kibiki ambaye pia ni Mwanahabari wa Magazeti...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More