
Dkt MUSA LEONARD
MDEDE akitoa neno katika kongamano la vijana wa katoliki
baadhi ya vijana wakimsikiza mdede katika kongamano hilo.
baadhi ya viongozi wa vijana hao wakiwa makini kumsikiliza mdede
mdede akiingia katika ukumbi uliokuwa unafanyika sherehe
na fredy mgunda,iringa.
Vijana kikatoliki waliokuwa
kwenye kongamano lililofanyika katika kijiji cha ulete wamewataka wananchi wa
jimbo la kalenga kuelekeza macho na masikio yao kuhakikisha wanamchagua kijana
mwenzao ambaye ameonekana kuwa na uwezo wa kuwa kiongozi bora na kuwaletea
maendeleo katika jimbo hilo.
Wakizungumza katika kongamano
hilo vijana hao walisema kuwa hawajapata kuona kijana anayejiamini na kuonesha
wazi mbinu za...