Tuesday, June 30, 2015

Dkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo.

 Dkt  MUSA LEONARD MDEDE akitoa neno katika kongamano la vijana wa katoliki   baadhi ya vijana wakimsikiza mdede katika kongamano hilo.  baadhi ya viongozi wa vijana hao wakiwa makini kumsikiliza mdede mdede akiingia katika ukumbi uliokuwa unafanyika sherehe na fredy mgunda,iringa. Vijana kikatoliki waliokuwa kwenye kongamano lililofanyika katika kijiji cha ulete wamewataka wananchi wa jimbo la kalenga kuelekeza macho na masikio yao kuhakikisha wanamchagua kijana mwenzao ambaye ameonekana kuwa na uwezo wa kuwa kiongozi bora na kuwaletea maendeleo katika jimbo hilo. Wakizungumza katika kongamano hilo vijana hao walisema kuwa hawajapata kuona kijana anayejiamini na kuonesha wazi mbinu za...

Friday, June 12, 2015

BALOZI DKT. DIODORUS BUBERWA MGENI RASMI KATIKA UTOWAJI WA ZAWADI KWA WASHINDI WA ‘NA MIMI NIPO- ONLINE ARTS & SCIENCE COMPETITION LILILO ANDALIWA NA FASDO.

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dr. Diodorus Buberwa akizungumza wakati wa sherehe hiyo. Meza Kuu, kuanzia kushoto ni Mratibu Mkuu wa FASDO nchini, Joyce Msigwa,  Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dr. Diodorus Buberwa, Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Urusi nchini, Alexander Tsykunov na mwisho ni Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande.   Mkurugenzi Mtendaji wa FASDO, Tedvan Chande akizungumza jambo wakati wa sherehe hizo Mratibu wa shindano hilo, Joyce Msigwa akizungumza jambo. Mshereheshaji wa sherehe hizo ambaye pia ni Mratibu Msaidizi, Tunukiwa Daudi akifafanua jambo. Mzee Nabora Akizungumza Jambo wakati wa Sherehe hizo Baadhi ya  washindi wakiwa wanakabidhiwa zawadi zao  Balozi...

1 of 77 CHUMBA CHA HABARI CHA GAZETI LA JAMBO LEO NA STAA SPOTI CHAZIZIMA KWA HUZUNI BAADA YA KUFIWA NA MENEJA WAO MZEE RAMADHANI KIBANIKE

 Marehemu  Ramadhani Kibanike enzi za uhai wake.  Mhariri Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, Julian Msacky na Mwandishi wa Habari, Stela Kessy (kulia), wakiendelea na kazi huku wakiwa na hudhuni baada ya kupokea taarifa ya kifo cha Kibanike leo jioni.  Mwanahabari Celina Mathew akilia kwa uchungu baada ya kupokea taarifa hiyo.  Ofisa Matangazo, Kinai akiwa amepigwa butwaa kutokana na  kifo hicho.  Wanahabari Nyendo Mohamed (katikati), Edith Msuya (kulia) na  Magendela Hamisi wakiwa katika hali ya huzuni kufuatia kifo hicho.  Mwanahabari Magendela Hamisi akitafakari juu ya kifo hicho.  Msanifu kurasa wa gazeti la Jambo Leo, Elizabeth Mkeleja alishindwa kujizuia kulia.  Dereva...

MBUNGE WA JIMBO LA MUFNDI KASIKAZINI MAHAMOD MGIMWA ANOGESHA ZAWADI ZA MSHINDI WA KOMBE LA MUUNGANO.

naibu waziri wa maliasili na utalii mahamod mgimwa ambye pia mbunge wa jimbo la mufindi kasikazini.  hapa mabingwa wa kombe hilo wakishangia ushindi pamoja na mgeni rasmi pamoja na viongozi mbalimbali. mratibu wa mashindano hayo aliyetangaza kustahafu kuratibu mashindano hayo. na fredy mgunda,iringa akizungumza wakati wa kufunga mashindano ya kombe la muungano mratibu wa kombe hilo DAUDI YASSIN alimpongeza mbunge wa mufindi wa jimbo la mufindi kasikazini ambaye pia ni naibu waziri wa maliasili na utalii MAHAMOD MGIMWA kwa kisaidia kutoa zawadi. YASSIN alisema kuwa tulipungukiwa baadhi ya zawadi kutokana na kombe hilo kufanyika bila ya kuwa na mdhamini wa kudumu hivyo aliamua kumtafuta mbunge huyo na kumuomba awasaidie baadhi...

Thursday, June 11, 2015

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na wakazi wa Mbezi na Kawe Ukwamani ambao nyumba zao zilibomoka kutokana na mmomonyoko wa ardhi uliosababishwa na shughuli za kibinadamu kama vile uchimbaji wa mchanga katika mto huo hali iliyosababisha kingo za mto huo kupanuka hadi kwenye makazi ya watu. Makonda aliwatembelea wakazi hao Dar es Salaam jana.  DC Makonda akiwa ameongozana na viongozi mbalimbali wakati alipo watembelea waathiriwa hao.  Wananchi wakiwa katika maeneo hayo yaliyoathiriwa na mmomonyoko huo.  Baadhi ya nyumba zilizobomoka kutokana na mmomonyoko huo. Na Dotto Mwaibale MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amepiga marufuku uchimbaji mchanga katika mto Mbezi na Kawe Ukwamani...

MASHINDANO YA MUUNGANO YAMEFIKIA MWISHO KWA MAFANIKIO MAKUBWA SANA,HUKU DAUDI YASSINI AKING’ATUKA

 DAUDI YASSINI AKIMKARIBISHA MKUU WA WILAYA YA MUFINDI MBONI MAHITA KATIKA UWANJA WA WAMBI MJINI MAFINGA  MKUU WA WILAYA MBONI MAHITA AKIKAGUA TIMU KABLA YA MCHEZO  MSIMAMIZI DAUDI YASINI NA MGENI RASMI MBONI MAHITA WAKIWA KATIKA PICHA MOJA NA MABINGWA  WA MUFINDI CUP TIMU YA MKOBA   MSIMAMIZI DAUDI YASINI NA MGENI RASMI MBONI MAHITA WAKIWA KATIKA PICHA MOJA NA  TIMU YA DODOMA ACADEMY  SEHEMU YA MASHABIKI WA WALIOJITOKEZA KATIKA MCHEZO HUO WA FAINALI  SEHEMU YA MASHABIKI WA WALIOJITOKEZA KATIKA MCHEZO HUO WA FAINALI  na fredy mgunda,iringa mashindano ya muungano cup yafikia tamati hapo jana kwa mafanikio makubwa huku timu ya mukoba ikishinda  na kuwa bingwa mpya kwa kumfunga...

Tuesday, June 2, 2015

UTAFITI WA KISIASA ULIOFANYWA NDANI YA MANISPAA YA IRINGA WAMBEBA FRANK KIBIKI

        frank kibiki akiongea na wananchi stand kuu ya mabas iringa   wananchi wakimsikiza frank kibiki  alipokuwa maeneo ya stand kuu na fredy mgunda,iringa MATOKEO ya utafiti uliofanywa na taasisi ya Southern Highland Zone Election Research (SHZER), katika jimbo la Iringa mjini umeonyesha kuwa nyota ya Mwanahabari ,  Frank Kibiki aliyetangaza nia kuwania Ubunge jimbo la Iringa mjini (CCM) inazidi kung’ara baada ya kuongoza huku akichuana vikali na Mbunge wa sasa Mchungaji Peter Msigwa(CDM). Utafiti huo uliofanywa kwa miezi minne tangu, kuwepo kwa wimbi la watu wengi kutangaza nia ya kuwania ubunge katika jimbo la Iringa mjini, wakiwemo makada lukuki wa CCM unaonyesha kuwa Nyota...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More