Thursday, March 14, 2024

ADEM YAWAPIGA MSASA WALIMU WAKUU 4,620 WA MIKOA 6 TANZANIA BARA

Katibu Tawala Wilaya ya Nachingwea Mbarouk Balozi amefunga mafunzo  ya uongozi, usimamizi na uendeshaji wa shule za msingi yaliyoendeshwa kwa Walimu Wakuu wa Shule za Msingi za Mikoa wa Simiyu, Kigoma, Tanga, Kilimanjaro, Mbeya na Mtwara chini ya mradi wa BOOST na kusimamiwa na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Tafiti na Ushauri Elekezi -ADEM Dkt. Alphonce Amuli ameeleza kuwa hadi sasa ADEM imeshatoa mafunzo kwa walimu wakuu 4,522 katika awamu ya kwanza ya mafunzo hayo, na katika awamu hii mafunzo hayo yametolewa kwa Walimu Wakuu 4,620 katika Mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Simiyu, Mbeya, Kigoma na MtwaraBaadhi ya walimu wakuu walioshiriki mafunzo hayoNa Fredy Mgunda,Lindi Katibu Tawala Wilaya ya...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More