Tuesday, May 26, 2015

katibu wa UVCCM mkoa wa Iringa Elisha Mwampashi awataka vijana kujituma kuafanya kazi na kuacha kukaa vijiweni

 katibu  wa  UVCCM mkoa  wa  Iringa Elisha Mwampashi wa  pili  kulia akiwa na katibu  mkuu  wa UVCCM Taifa Bw  Sixtus Mapunda  na fredy mgunda,iringa Akizungumza na mtandao huu katibu wa uvccm mkoa wa iringa ELISHA MWAMPASHE alisema kuwa vijana wengi wamekuwa wakibweteka kwa kutojituma kufanya kazi na kuendelea kuilaumu serikali.“Eti asubuhi unawakuta vijana wamekaa kwenye vijiwe wakizungumza siasa na kucheza mabao wakati hawajui mchana watakula wapi na jioni watarudi na nini nyumbani”alisema  ELISHA MWAMPASHEELISHA MWAMPASHE ameendelea kuwaomba vijana wengi wenye fursa ya kurudi au kuingia shuleni upya warudi kwa kuwa dunia ya sasa inataka wasomi wengi kutokana na mabadiliko...

Monday, May 25, 2015

KUMEKUCHA JIMBO LA ISMANI LUKUVI APATA MPINZANI

   WILLIAM LUKUVI MBUNGE WA JIMBO LA ISMANI   WILLIAM LUKUVI MBUNGE WA JIMBO LA ISMANI NA RAYMONDI MINJA IRINGA MSOMI  wa Digri ya uhandisi wa kilomo na mtaalamu  wa kilimo cha umwagiliaji kutoka chuo kikuu cha kilimo Sokoine (SUA)Mhandisi Sebastiani Kayoyo (39) anetangaza nia yake ya kugombea Ubunge katika jimbo la Isimani kwa tiketi ya CCM  linaloshikiliwa na Waziri wa aridhi ,nyumba na maendeleo ya makazi Wiliam Lukuvi Akitangaza nia yake hiyo mkoani Iringa juzi  Kayoyo alisema kujitosa katika jimbo hilo ni kuhakikisha maendeleo yakiongezeka kwa kasi na kutoa fursa za kiuchumi kwa wananchi wa jimbo hilo. Kayoyo alisema kuwa siko kwamba mbunge aliyeko madarakani  hajafanya mambo ya msingi ila mbunge...

Monday, May 18, 2015

Stendi kuu mjini Iringa waanzisha timu ya mpira wa miguu ya KIBIKI FC

Kibiki azizungumza na kijana, fundi viatu wa mjini Iringa! Na mwandishi wetu, Iringa   VIJANA wa stendi kuu ya mabasi ya mjini Iringa, wameanzisha timu ya mpira wa miguu ya ‘Kibiki Football Club’ili kuunga mkono harakati za mwanahabari wa gazeti la Uhuru na mzalendo, baada ya kutangaza nia kuwania jimbo hilo.   Katibu wa timu hiyo, Charles Manet alisema wameamua kuanzisha timu ya mpira wa miguu inayoitwa Kibiki, ili kuonyesha dhamira yao ya dhati katika kumsaidia kijana mwenzao.   “Yeye mwenyewe hakujua kama tumetumia jina lake kwenye timu yetu, tayari tumeshacheza mechi mbili tangu timu yetu ianze kuitwa Kibiki FC na tunatarajia kuendelea kucheza mechi za kirafiki, tukianza na timu ya Wambi ya stendi...

Monday, May 4, 2015

KATIBU MKUU WA UVCCM SIXTUS MAPUNDA AHARIBU MIPANGO YA WAPINZANI MKOANI IRINGA

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; ...

Friday, May 1, 2015

mkuu wa wilaya ya korogwe hafsa mtasiwa amewataka wananchi kuisoma na kuilewa katiba inapendekezwa

                        mkuu wa wilaya ya korogwe HAFSA MTASIWA          mkuu wa wilaya ya korogwe HAFSA MTASIWA na fredy mgunda,iringa Wanachi wa mkoa wa tanga wilaya ya korogwe wametakiwa kuisoma na kuilewa katiba inapendekezwa ili waweze kuipigia kura. Akizungumza na blog hii mkuu wa wilaya ya korogwe HAFSA MTASIWA awataka wananchi wa wilaya hiyo kusoma na kuijadili katiba hiyo na kutosikiliza kutoka kwa watu. Aidha MTASIWA amesisitiza kuwa Tanzania bado tunakatiba yetu na tupo kwenye mchakato wa kupata katiba mpya hivyo wananchi wanatakiwa kuwa makini na maneno wanayo ambiwa na watu wengine. “Katiba inayopendekezwa imeandikwa na binadamu...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More