Friday, July 24, 2015

Kibiki aikumbuka Lipuli, asema ni agenda yake akipata Ubunge

NA MWANDISHI WETU, IRINGA MGOMBEA wa nafasi ya Ubunge kwa tiketi ya CCM, Mwanahabari Frank Kibiki ameahidi kushirikiana na wadau wa soka kupandisha daraja timu ya soka ya Lipuli ya mjini Iringa iwapo atapewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza wakati wa kampeni za kujinadi zilizofanyika katika eneo la Kihesa kilolo, mjini Iringa Kibiki alisema michezo ni fursa ambayo inaweza kuinua uchumi wa mkoa wa Iringa endapo itapatiwa kipaumbele. Alisema ikiwa atapewa ridhaa ya kuwa mbunge, atakaa chini na wadau wa soka wa manispaa ya Iringa na kuweka mikakati madhubuti ili kuhakikisha wananchi Lipuli inapanda daraja. “Ndugu zangu, Lipuli ikipanda daraja uchumi wa Iringa mjini utakuwa kwa sababu...

Friday, July 17, 2015

MBUNGE WA JIMBO LA ISMANI WILIAMU LUKUVI APATA WAPINZANI JIMBONI KWAKE

mtia nia wa ccm jimbo la ismani festo kiswaga akiwa katika ofisi za ccm jimbo la iringa vijiji akiwa na katibu wa ccm iringa vijijini NA MWANDISHI WETU,IRINGA. Baada ya zoezi la uchaguzi wa wagombea urais kukamilika katika vyama sasa zoezi limeanza kwa wabunge na madiwani ambapo hii leo Festo Kiswaga ambaye ameweka nia ya kugombea katika jimbo la isiman. Katika mkutano huo na waandishi wa habari KIswaga amekanusha uvumi uliokuwa umezagaa juu ya kuhongwa pesa mwaka 2010 ili kutogombea huku akidai kuwa alishindwa kwa haiki na si hongo ya mbunge aliyepo madalakani kwasasa huku akimzawadia ukuu wa wilaya. Ambapo pia ametumia mkutano huo ili kuujulisha uma juu ya maelengo yake ya kuchukua form katika wasifu wake amesema anadigree...

Monday, July 13, 2015

MWENYEKITI WA BAVICHA AMVAA MCHUNGAJI MSIGWA UBUNGE IRINGA MJINI

na fredy mgunda,iringa MWENYEKITI wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Leonce Marto amechukua fomu ya kuwania ubunge katika jimbo la Iringa kupitia chama chake hicho. Amechukua fomu hiyo siku moja tu baada ya Rais Jakaya Kikwete kulihutubia na hatimaye kulivunja bunge la 10 la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambalo uhai wake utakoma Agosti 20, mwaka huu. Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, jimbo la Iringa Mjini limekuwa likiongozwa na Mchungaji Peter Msigwa ambaye pia alichaguliwa kupitia Chadema katika uchaguzi wa 2010. Kwa kupitia taarifa yake aliyoisambaza kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii jana, Marto alisema;  “nawasalimu nyote wenye mapenzi mema na Taifa letu la Tanzania...

Wednesday, July 8, 2015

Mamia ya wana Iringa waendelea kumchangia Mwanahabari Kibiki achukue fomu ya Ubunge Iringa mjini

  na fredy mgunda,iringa  WAKATI joto la uchaguzi likiendelea kupanda katika jimbo la Iringa mjini, mamia ya vijana, wanawake, walemavu  na wazee katika jimbo hilo wanaendelea kuchangishana fedha ili kumuwezesha mwanahabari Frank Kibiki kuchukua fomu ya kuomba ateuliwe kupeperusha bendera ya CCM, kwenye jimbo hilo. Zoezi hilo linaloendeshwa na baadhi ya vijana waliomtaka Kibiki ambaye ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM taifa, kutotoa rushwa badala yake atumie hoja kuelezea sera zake, walisema wameamua kuchangishana fedha ili kumuwezesha kijana huyo kuchukua fomu. Wakizungumza na wanahabari, tayari vijana hao walisha mkabidhi Kibiki zaidi ya Sh 200,000 miezi mitatu iliyopita. “Bei...

Monday, July 6, 2015

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA IRINGA CHAMPONGEZA ELISHA MWAMPASHI KWA KAZI NZURI ANAYOIFANYA KATIKA JIMBO LA IRINGA MJINI

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-priority:99; mso-style-qformat:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in...

Friday, July 3, 2015

CHUO KIKUU CHA IRINGA ZAMANI TUMAINI KESHO KINATARAJIA KUADHIMISHA SIKU YA UTALII NA UTAMADUNI MAADHIMISHO YATAFANYIKA KATIKA CHUO HICHO.

   MHADHILI WA CHUO KIKUU CHA IRINGA JIMSON SANGA     baadhi ya majengo ya chuo kikuu cha iringa zamani tumaini     baadhi ya majengo ya chuo kikuu cha iringa zamani tumaini na fredy mgunda,iringa Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Page 1 of 69412345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More