Wednesday, May 14, 2025

WAHIFADHI TFS SAO HILL WAKAGUA UKARABATI WA MIONDOMBINU YA BARABARATARAFA YA NNE YA SHAMBA MGOLOLO

Wahifadhi tfs sao hill wakagua ukarabati wa miondombinu ya barabaratarafa ya nne ya shamba mgololo akiwa katika eneo la ukaguzi wa barabaraWahifadhi tfs sao hill wakagua ukarabati wa miondombinu ya barabaratarafa ya nne ya shamba mgololo akiwa katika eneo la ukaguzi wa barabaraNa Fredy Mgunda,Mufindi.Ukaguzi huo umefanyika ikiwa ni hatua ya kuhakikisha kuwa mawasiliano ya barabara zilizopo ndani ya msitu yanaendelea  kuwepo ili kuhakikisha  shughuli za shamba na zile za watumiaji wa barabara hizo ambao ni wavunaji wa miti wanaosafirisha malighafi za miti wanapita katika barabara hizo bila vikwazo vyovyote.TFS kupitia Shamba la Miti Sao Hill imeendelea kutatua changamoto mbalimbali ambazo zinajitokeza ili kuhakikisha wadau wanaovuna...

Thursday, May 8, 2025

KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa, Mheshimiwa Kuruthum Issa Runje akikagua utekelezaji wa ilani ya CCM wilaya ya Kilwa mkoani LindiViongozi wa chama chama mapinduzi mkoa wa Lindi wakiendeea na ukaguzi wa ilani ya CCM kwa kugua miradi mbalimbali katika wilaya ya KilwaViongozi wa chama chama mapinduzi mkoa wa Lindi wakiendeea na ukaguzi wa ilani ya CCM kwa kugua miradi mbalimbali katika wilaya ya KilwaNa Fredy Mgunda, Kilwa Lindi Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Lindi ikiongozwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa, Mheshimiwa Kuruthum Issa Runje, imefanya ziara maalum Wilayani Kilwa kwa ajili ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa chini ya Ilani ya CCM ya mwaka...

Page 1 of 69512345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More