Thursday, June 12, 2025

VIJANA FANYENI MAZOEZI MARA KWA MARA KUIMARISHA AFYA

Katika ulimwengu wa leo unaokumbwa na changamoto nyingi za kiafya, viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Lindi wametoa wito maalum kwa vijana na wananchi wote kufanya mazoezi mara kwa mara kama njia ya kuimarisha afya na kuzuia magonjwa yasiyoambukiza. Wito huo umetolewa wakati wa maonyesho ya madini yanayoendelea katika viwanja vya madini wilayani Ruangwa.Katika ulimwengu wa leo unaokumbwa na changamoto nyingi za kiafya, viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Lindi wametoa wito maalum kwa vijana na wananchi wote kufanya mazoezi mara kwa mara kama njia ya kuimarisha afya na kuzuia magonjwa yasiyoambukiza. Wito huo umetolewa wakati wa maonyesho ya madini yanayoendelea katika viwanja vya madini wilayani Ruangwa.Katika ulimwengu wa leo unaokumbwa na changamoto...

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI ZANZIBAR AZINDUA MAONYESHO YA MADINI LINDI

Waziri wa Nishati na Madini wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mheshimiwa Shaibu Hassan Kaduara, amezindua rasmi awamu ya pili ya Maonyesho ya Madini (Lindi Mining Expo) mkoani Lindi, yakilenga kuvutia wawekezaji na kutangaza fursa mbalimbali za rasilimali madini zinazopatikana mkoani humo.Waziri wa Nishati na Madini wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mheshimiwa Shaibu Hassan Kaduara, amezindua rasmi awamu ya pili ya Maonyesho ya Madini (Lindi Mining Expo) mkoani Lindi, yakilenga kuvutia wawekezaji na kutangaza fursa mbalimbali za rasilimali madini zinazopatikana mkoani humo.Waziri wa Nishati na Madini wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mheshimiwa Shaibu Hassan Kaduara, amezindua rasmi awamu ya pili ya Maonyesho ya Madini (Lindi Mining Expo)...

Monday, May 19, 2025

MADAKTARI BINGWA 47 WATIA NANGA MKOANI LINDI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary akizunguza wakati  kuwapokea rasmi madaktari bingwa 47 chini ya mpango wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, awamu ya tatu, kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa katika hospitali zote za wilaya ndani ya mkoa huo.Baadhi ya Madaktari bingwa ambao wamewasili mkoani Lindi kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa kwa wananchi wote mkoani.Na Fredy Mgunda, Lindi.Serikali ya Mkoa wa Lindi imewapokea rasmi madaktari bingwa 47 chini ya mpango wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, awamu ya tatu, kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa katika hospitali zote za wilaya ndani ya mkoa huo.Akizungumza wakati wa mapokezi hayo, Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, alisema kuwa ujio wa madaktari hao ni...

Thursday, May 15, 2025

BARAZA LA MADIWANI KASULU LIMEMCHANGIA MILIONI 1 RAIS DKT SAMIA KWA AJILI YA KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA TENA URAIS.

Baraza la Madiwani na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu limemshukuru na kumpongeza Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa ambapo wamechangia kiasi cha  shilingi 1,000,000  kwa ajili  ya kuchukua fomu ya kugombea Urais kwa Mhe.Rais na shilingi 577,000 kwa ajili ya Mbunge wa Jimbo la Kasulu Vijijini,Mhe.Vuma Olle  kuchukua fomu ya kugombea ubungeBaraza la Madiwani na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu limemshukuru na kumpongeza Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa ambapo wamechangia kiasi cha  shilingi 1,000,000  kwa ajili  ya kuchukua fomu ya kugombea Urais kwa Mhe.Rais na shilingi 577,000 kwa ajili ya Mbunge wa Jimbo la Kasulu Vijijini,Mhe.Vuma Olle ...

Wednesday, May 14, 2025

WAHIFADHI TFS SAO HILL WAKAGUA UKARABATI WA MIONDOMBINU YA BARABARATARAFA YA NNE YA SHAMBA MGOLOLO

Wahifadhi tfs sao hill wakagua ukarabati wa miondombinu ya barabaratarafa ya nne ya shamba mgololo akiwa katika eneo la ukaguzi wa barabaraWahifadhi tfs sao hill wakagua ukarabati wa miondombinu ya barabaratarafa ya nne ya shamba mgololo akiwa katika eneo la ukaguzi wa barabaraNa Fredy Mgunda,Mufindi.Ukaguzi huo umefanyika ikiwa ni hatua ya kuhakikisha kuwa mawasiliano ya barabara zilizopo ndani ya msitu yanaendelea  kuwepo ili kuhakikisha  shughuli za shamba na zile za watumiaji wa barabara hizo ambao ni wavunaji wa miti wanaosafirisha malighafi za miti wanapita katika barabara hizo bila vikwazo vyovyote.TFS kupitia Shamba la Miti Sao Hill imeendelea kutatua changamoto mbalimbali ambazo zinajitokeza ili kuhakikisha wadau wanaovuna...

Thursday, May 8, 2025

KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa, Mheshimiwa Kuruthum Issa Runje akikagua utekelezaji wa ilani ya CCM wilaya ya Kilwa mkoani LindiViongozi wa chama chama mapinduzi mkoa wa Lindi wakiendeea na ukaguzi wa ilani ya CCM kwa kugua miradi mbalimbali katika wilaya ya KilwaViongozi wa chama chama mapinduzi mkoa wa Lindi wakiendeea na ukaguzi wa ilani ya CCM kwa kugua miradi mbalimbali katika wilaya ya KilwaNa Fredy Mgunda, Kilwa Lindi Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Lindi ikiongozwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa, Mheshimiwa Kuruthum Issa Runje, imefanya ziara maalum Wilayani Kilwa kwa ajili ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa chini ya Ilani ya CCM ya mwaka...

Saturday, April 5, 2025

MAONESHO YA MADINI MKOA WA LINDI KUFANYIKA JULAI 11 HADI 14, 2025.

Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Zainab Telack ameongoza Kikao cha kwanza cha maandalizi ya Maonesho kilichofanyika Ruangwa huku akitaja Juni 11 hadi 14, 2025 kuwa tarehe ya msimu wa pili wa  monesho ya madini katika mkoa huo ambayo yataambatana na mnada wa madiniBaadhi ya a washiriki wa kikao cha maandalizi ya wiki ya madini Lindi.Na Fredy Mgunda, Lindi. Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Zainab Telack ameongoza Kikao cha kwanza cha maandalizi ya Maonesho kilichofanyika Ruangwa huku akitaja Juni 11 hadi 14, 2025 kuwa tarehe ya msimu wa pili wa  monesho ya madini katika mkoa huo ambayo yataambatana na mnada wa madini,Maonesho hayo yatafanyika katika viwanja vya madini Ruangwa Mkoani Lindi.Telack akiongoza kikao hicho  kilichowakutanisha Viongozi...

Thursday, March 14, 2024

ADEM YAWAPIGA MSASA WALIMU WAKUU 4,620 WA MIKOA 6 TANZANIA BARA

Katibu Tawala Wilaya ya Nachingwea Mbarouk Balozi amefunga mafunzo  ya uongozi, usimamizi na uendeshaji wa shule za msingi yaliyoendeshwa kwa Walimu Wakuu wa Shule za Msingi za Mikoa wa Simiyu, Kigoma, Tanga, Kilimanjaro, Mbeya na Mtwara chini ya mradi wa BOOST na kusimamiwa na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Tafiti na Ushauri Elekezi -ADEM Dkt. Alphonce Amuli ameeleza kuwa hadi sasa ADEM imeshatoa mafunzo kwa walimu wakuu 4,522 katika awamu ya kwanza ya mafunzo hayo, na katika awamu hii mafunzo hayo yametolewa kwa Walimu Wakuu 4,620 katika Mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Simiyu, Mbeya, Kigoma na MtwaraBaadhi ya walimu wakuu walioshiriki mafunzo hayoNa Fredy Mgunda,Lindi Katibu Tawala Wilaya ya...

Thursday, October 5, 2023

DED MAKUFWE AWANOA WASIMAMIZI WA MIRADI YA ELIMU NA AFYA MAKETE.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete,  Ndg. William Makufwe (kushoto) akizungumza na Wasimamizi wa miradi ya Elimu na Afya, katika ukumbi wa Mikutano Bomani...akiwa pamoja Mganga mkuu wa Halmashauri Dkt. Ligobert Kalisa.Na Fredy Mgunda, Makete.MKURUGENZI mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete,William Makufwe, amewataka watumishi kuanzia ngazi ya kijiji hadi makao mkuu ya Halmashauri, ambao wanasimamia miradi kuhakikisha watimiza wajibu wao ili iweze kukamiliaka kwa wakati.Makufwe amesema hayo wakati akizungumza na watendaji wa kata, vijiji, wakuu wa shule , waganga wafawidhi pamoja na wakuu wa idara na vitengo katika ukumbi wa mikutano Bomani,lazima viongozi washirikiane katika kukamilisha miradi ambayo imeletwa katika maeneo...

Thursday, July 22, 2021

Na Fredy Mgunda,Irnga.Mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo amesema kuwa wakandarasi watakao chelewesha au kujenga chini ya kiwango miradi ya kimaendeleo katika halmashauri ya Manispaa ya Iringa watarudia kwa gharama zao kwa ubora ule ule unatakiwa kutokana na thamani ya mradi husika.Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua miradi ya kimaendeleo katika manispaa ya Iringa, mkuu wa wilaya Mohamed Hassan Moyo alisema kuwa amefanikiwa kukagua miradi mingi ambayo imejengwa kwa viwango vinavyotakiwa ila tatizo kubwa lipo kwa wakandarasi ambao wamekuwa wakipewa tenda za ujenzi wa miradi hiyo.alisema kuwa wakati wa ziara aligundua kuwa wakandarasi wengi wameshalipwa fedha serikali kwa ajili ya kutekeleza miradi ya serikali ila wamekuwa wanaichelewesha...

Monday, June 14, 2021

DC KASESELA : AWATAKA KAMPUNI YA MWENGA KUTENGENEZA MITA ZA WATEJA WAKE

Kaimu mkuu wa wilaya Mufindi ambaye ni mkuu wa wilaya ya Iringa Richad Kasesela akitoa neno kwenye mkutano wa maombi ya kurekebisha bei ya umeme wa Mwenga Power Limeted katika kijiji cha Igoda kilichopo wilaya ya MufindiBaadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano huo wa wadau wanaotumia umeme wa kampuni ya MwengaNa Fredy Mgunda,Iringa.MKUU wa wilaya ya Mufindi ameitaka kampuni ya Mwenga Power Services Limited kutengeneza mita za wateja zilizoharibika kwa wakati ili wananchi waendelee kufanya shughuli za kimaendeleo kwa kutumia nishati ya umeme ambayo inatolewa na kampuni hiyo.Akizungumza kwenye mkutano wa maombi ya kurekebisha bei za umeme zinazotolewa na kampuni ya Mwenga,kaimu mkuu wa wilaya hiyo ambaye ni mkuu wa wilaya ya Iringa,Richad Kasesela...

Page 1 of 69612345Next
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More