
Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Zainab Telack ameongoza Kikao cha kwanza cha maandalizi ya Maonesho kilichofanyika Ruangwa huku akitaja Juni 11 hadi 14, 2025 kuwa tarehe ya msimu wa pili wa monesho ya madini katika mkoa huo ambayo yataambatana na mnada wa madiniBaadhi ya a washiriki wa kikao cha maandalizi ya wiki ya madini Lindi.Na Fredy Mgunda, Lindi. Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Zainab Telack ameongoza Kikao cha kwanza cha maandalizi ya Maonesho kilichofanyika Ruangwa huku akitaja Juni 11 hadi 14, 2025 kuwa tarehe ya msimu wa pili wa monesho ya madini katika mkoa huo ambayo yataambatana na mnada wa madini,Maonesho hayo yatafanyika katika viwanja vya madini Ruangwa Mkoani Lindi.Telack akiongoza kikao hicho kilichowakutanisha Viongozi...